Hebu fikiria kwamba umefukuzwa kazi au kufilisika kimali, halafu mkeo au mpenzi wako anafanya visa na mikasa ya kila aina ili aweze kuachana na wewe. Hatimaye anafanikiwa na uhusiano wenu au ndoa yenu inavunjika.
Lakini miaka michache baadaye, Mungu siyo Athumani, unarudi kwenye chati. Huyo mwanamke anapata taarifa huko aliko, na anaamua kujileta kwako, yaani kujipendekeza ili arudi. Hebu niambie, kama ni wewe ungefanya nini katika hili?
NN.....Lakini mbona wanawake ni watu wa kusamehe............. kwa nini asistahili msamaha ili apate kujifunza............!
Hata wewe.........! mimi nilitarajia ungemtetea mwenzio
NN.....Lakini mbona wanawake ni watu wa kusamehe............. kwa nini asistahili msamaha ili apate kujifunza............!
Samehe 7x700!!
I, Bishanga Abashaija, do hereby take you Husninyo,as my lawful wife,and i promise to LOVE,CARE and CHERISH you ......until kifo kitutenganishe.....(best man TF)
Mkuu easily said than done ,hata sisi wanaume tunafanyaga mafyongo haya haya hasa mke anapougua kwa muda mrefu,wanaume kibao huwa wanajitia uwezo wa kuuguza umewaishia mke anaambiwa akaugulie kwao.....maisha haya bana we acha tu.
Hebu fikiria kwamba umefukuzwa kazi au kufilisika kimali, halafu mkeo au mpenzi wako anafanya visa na mikasa ya kila aina ili aweze kuachana na wewe. Hatimaye anafanikiwa na uhusiano wenu au ndoa yenu inavunjika.
Lakini miaka michache baadaye, Mungu siyo Athumani, unarudi kwenye ‘chati.' Huyo mwanamke anapata taarifa huko aliko, na anaamua kujileta kwako, yaani kujipendekeza ili arudi. Hebu niambie, kama ni wewe ungefanya nini katika hili?
Dah! Bishanga mbona hii ndoa umejihalalIshia fasta...lolI, Bishanga Abashaija, do hereby take you Husninyo,as my lawful wife,and i promise to LOVE,CARE and CHERISH you ......until kifo kitutenganishe.....(best man TF)
Mkuu easily said than done ,hata sisi wanaume tunafanyaga mafyongo haya haya hasa mke anapougua kwa muda mrefu,wanaume kibao huwa wanajitia uwezo wa kuuguza umewaishia mke anaambiwa akaugulie kwao.....maisha haya bana we acha tu.