Anatamani turudiane, lakini hataki kukiri wala kuongelea kosa alilofanya..NIMFANYEJE?


Ndugu usimrudie huyo Binti kwa Lengo la kumsaidia Elewa kuwa uchumba sio Ndoa usijejuta hapo baadaye kama ameonyesha kutokuwa mwamifu na hana moyo wa toba nakushauri mwache
 
Kama unampenda bado mrudie, halafu mambo ya kuangalia simu yake ACHA. Amini tu anachokwambia la sivyo hutaweza kuishi na msichana yeyote wa sasa. Hata wewe akiangalia simu yako kila siku hamtakaa pamoja.
Ndio maisha ya sasa ndugu yangu.
 
NI KWELI UNAMPENDA NDO MAANA PAMOJA NA KUMLAUMU, BADO UNAMSIFIA ETI "HAKUACHA KUKUHESHIMU", ETI "ANAONESHA NIA YA KURUDIANA NAMI".UNASAHAU KWAMBA HAKUHESHIMU NDO MAANA HAKUTOKEA KTK MTOKO WA SIKU ILE, HAACHI KUCHATI NA HUYO ALIYEINGILIA MAHUSIANO YENU LICHA YA KUONA NAMNA UNAVYOKERWA NA MASEJI HIZO ZA MAHABA KTK SIMU YAKE NA KULE KUTOKUWA TAYARI KULIONGELEA KOSA LAKE.HUO WOTE NI USHAIDI WA MOJA KWA MOJA KWAMBA HUYO DEMU ANAKUDHARAU SANA.SUALA LA KUONESHA NIA YA KURUDIANA NALO LINAKUANIAKA KWAMBA HUJIEKLEWI.HEBU JIULIZE AMEONESHA NIA YA KURUDIANA KWANI NANI ALIMWACHA MWENZAKE KATI YAKO NAYE.KUMBE ULIPOMWACHA HUKUMAANISHA, SIYO!.KAMA ULIKUWA UNAMWOMBA MUNGU AKUPE MKE MWEMA BASI KAKUSAIDIA KWAMBA HUYO SI MWEMA.NA YEYE KUTOKUWA TAYARI KUJADIRI KOSA LAKE NA KUOMBA RADHI, NI WAZI SANA KWaMABA YUKO TAYARI KWA UAMUZI UTAKAOCHUKUA.

tafakari.................
 

Hakufai huyo kaka utakuja juta chapa mwendo fasta.maneno haya pia sio sheria
 
ushathibitisha so unahitaji nn sasa
mi kwa jibu rahs tu naona upo tayari kushea.
big up kwa mdada aendelee kukudanganya hivohivo

Hapo umenena mwanawane. watu wengine ni kama akili zao zinahama kwenye masuala ya mapenzi. After all inakuwaje for 5 years mnakandamizana kizenji tu bila kuoana, why? Hilo pia linaweza kuwa moja ya sababu ya yeye kukuona huna committment naye.

Wewe fahamu kwamba hata iweje huyo hataweza kuwa wako peke yako, utaendelea kuchukuliwa mpaka utie akili, kudadadeki wewe!
 
mbona mtu mwenyewe kama vile mimi ndo nilikuwa nae siku iyo vile! kiufupi achana nae, atakuumiza zaidi ya hapo. leo anarudi kwa msamaha, lakini baadae atasahau na hapo ndo utalia na kusaga meno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…