Izz
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 750
- 322
Kuna Dada mmoja ananiambia kila aamkapo asubuhi huwa anajisikia hovyo hovyo kwa kifupi ni vibaya yaani hawezi kuelezea hiyo hali.
Na kila anaposwaki (usafi wa kinywa) automatically atatapika nyongo ya rangi ya njano, na process nzima inampelekea machozi kutoka na kamasi jembamba.
Baada ya kutapika nyongo ndipo sasa ujisikia vizuri na ile hali ya hovyo hovyo uondoka na yenye kuchangamka muda wote. Ila jua linapozama ile hali ujirudia tena.
Je, hilo linaweza likawa tatizo gani? Yeye binafsi anahisi uenda akawa ni mjamzito, jumatatu ndio ana appointment ya kumuona daktari!
Haya JF Doctors tililikeni.....
Na kila anaposwaki (usafi wa kinywa) automatically atatapika nyongo ya rangi ya njano, na process nzima inampelekea machozi kutoka na kamasi jembamba.
Baada ya kutapika nyongo ndipo sasa ujisikia vizuri na ile hali ya hovyo hovyo uondoka na yenye kuchangamka muda wote. Ila jua linapozama ile hali ujirudia tena.
Je, hilo linaweza likawa tatizo gani? Yeye binafsi anahisi uenda akawa ni mjamzito, jumatatu ndio ana appointment ya kumuona daktari!
Haya JF Doctors tililikeni.....