Kuna binti anatoka na babaye, anadai "dingiye" aliomba aonje malezi yake eti naye alikubali. Sasa hivi analelewa na"dingiye" kama nyumba ndogo. Baada ya watu kumsema sana anaomba ushauri mimi. Wana JF naomba mnisaidie nimwambie nini huyu "shosti".:glasses-nerdy::mad2::eyeroll2:
anadai dingi kamwambia akithubutu kumuacha atamuua.
anadai dingi kamwambia akithubutu kumuacha atamuua.
Ana umri gani? Na je bado anaishi na baba yake? Hawezi kumuua, hivyo ni vitisho tu! Au naye kama kanogewa aseme siyo kutoa visingizio. Halafu ilikuwaje akakubali kirahisi namna hiyo kutembea na baba yake mzazi? Huyo baba ana watoto wangapi wa kike na ana wake wangapi? Maswali mengi sana najiuliza sipati jibu.
Nina uhakika huyo binti huwa anajisikia vibaya mara anapomalizana na baba yake. huyo baba firauni laakum mjaa laana.
Binti anatakiwa awe na nia na msimamo wa kumwacha huyo baba kwanza ahame hiyo nyumba alopangishiwa /wekwa kimada na babake kisha arudishe vyovyote alivyopewa kwa jina la mapenzi kisha amweleze its over akigoma naye amtishie atamlipua kwa wazee au ndugu zake.
Nina uhakika huyo binti huwa anajisikia vibaya mara anapomalizana na baba yake. huyo baba firauni laakum mjaa laana.
Binti anatakiwa awe na nia na msimamo wa kumwacha huyo baba kwanza ahame hiyo nyumba alopangishiwa /wekwa kimada na babake kisha arudishe vyovyote alivyopewa kwa jina la mapenzi kisha amweleze its over akigoma naye amtishie atamlipua kwa wazee au ndugu zake.
leo hapa panaboa mada zimegeukia kushoto ni mtoto gani huyo asiyejua jema na baya??????????
kamanda, usishangae pengine mdingi umepima dna umeona kwamba hako kamtoto sio wake ndio kanafanya hayo,
Hilo ni kosa la mtoto au la baba?
mi ctaki jamani!!Wazee wa Dar es Salaam wanakula watoto wao (wa kike hasa) kuliko unavyofikiria.
Siui tatizo ni mmomonyoko wa maadili au ni ugonjwa wa akili au ni ushirikina au ni nini sijui.
Ushauri wangu kwa akina mama, waepushe watoto wao wa kike kufanya mazoe na baba zao yaliyopitiliza. Haya mambo ya kupelekana beach kuogelea na kwenye outing za mabaa makubwa yanachangia sana kuharibu jamii. Ninafahamu more than 20 cases za akina baba kufanya zinaa na watoto wao wa kike and the very last incident ilikuwa March this year maeneo ya Airport. Mama alimfumania mme wake "live" akiwa na bintiye ndani ya kumi na nane!
Mama kwa sasa anauguza "stroke" na yule binti ametoweka mjini - Ila i gather kwamba yupo MO-Town na baba bado anaendeleza libeneke!
Na ulaaniwe mpaka kizazi chako cha saba