Anatembea na babake!

MJ1,ya nini yote hayo? amchukulie Rb tu,mzee ,if found guilty,atavuta mvua 30.
 
Aibu gani hii, cjui madudu gani haya wa2 wanafanya!

Laana hiyo.
 

kwa mtaji huu ni heri mashoga! dhambi ya ushoga tunajidai tunaichukia wakati kuna mauchafu mengi tu tunayatetea! tuache unafiki tukemee uovu wowote ule kwenye jamii zetu
 

Huyo baba ni kama anajipiga miti mwenyewe! Kukosa hekima ni mbaya sana!
 
Pale Arusha maeneo ya Mbauda kuna jamaa yangu kaoa mwanamke ambaye anati../wa na baba yake for about 15 years now bila jamaa yangu kujua.! Kwa bahati mbaya wamezaa watoto wawili halafu wote wana jinsia 2 (KE & ME).
 
Pale Arusha maeneo ya Mbauda kuna jamaa yangu kaoa mwanamke ambaye anati../wa na baba yake for about 15 years now bila jamaa yangu kujua.! Kwa bahati mbaya wamezaa watoto wawili halafu wote wana jinsia 2 (KE & ME).

Mie mwenyewe nilishawahi kumtia binti aliyekuwa anatiwa na kaka yake tumbo 1 bila mimi kujua. Uzinzi ni noma!
 

hayo ni mawazo yako tu dada. kama ni kujisikia vibaya basi ingekuwa kabla ya kuanza game maana nna uhakika huwa anajua kuwa anamuibia mamake
 
Mie mwenyewe nilishawahi kumtia binti aliyekuwa anatiwa na kaka yake tumbo 1 bila mimi kujua. Uzinzi ni noma!

pole mkuu. hapo ungethubutu kuoa ungekoma, ungefanyiwa kama wanvyofanyiwa watu waliooa wanyarwanda. Anakuja mtu anakwambia ni kaka yake, ukitoka tu jamaa nyuma wanaanza gemu kwa raha zao!
 
Ndugu zangu wana JF, kweli ndiyo tumefikia huku? Mungu tuokoe na hiki kizazi! Nawaambieni hali hii ikiendelea hivi na kama tutaendelea kuitetea, pamoja na kuwa nchi yetu ina utajiri wa asili, UMASKINI na MARADHI havitatuacha kamwe, Ni laana mbaya!
 
walishavulia maji nguo,wacha wayaooge tu!!malipo mbinguni
 
wwewe umeshawahi fanya hivyo? kwa nani baba, mama, dada au kaka yako?
 

Duuuh! duniani kuna mambo.
 
kwenye bible ya kidhungu kuna 'sin' na 'fornication', sijui kiswahili cha fornication lakini nadhani ni zaidi ya dhambi.
hebu soma mambo ya walawi chapter 20 ujishangalie.
jamani lugha kali kidogo lakini inabidi niulize, hivi hao wababa wanacmamisha kabisa na hao mabinti wananyegeka kabisa....balaa maishani jamani, ctaki hata kufikiri inakuwaje wanafikia hayo maamuzi....
 

Nukuu kwa baba wa taifa 'Kama ukianza kula nyama ya watu huwezi kuacha tena, utaendelea tu kula" mwishoo wa nukuu. Kwa ufirahuni waliofanya hawa binadamu basi " wataendelea nao tu hata kama wakishauriwa" wasubiri tu huruma za mwenyezi mungu
 
Mambo yote ni Ubatili mtupu. Ni laana juu ya laana. Yaani yote ni Ubazazi mtupu.

Eti mtu anaonja malezi yake laana tupu. lakini hakuna jipya chini ya jua . mi nadhani mtoto aendelee tu na libeneke na babaye halafu wazae mtoto ambaye sijui atamwitaje baba yake (kwani upande ni baba na upande ni Babu-Patamu hapo)
 
Hii noma sasa, kila kitu JF.JF ndiyo imeshikilia akili zenu?Mwishowe mtaomba ushauri JF hata jinsi ya kunanihii wake zenu.Acheni upuuzi huo.
 
Yaani mzee kama mchezomchezo mwishowe anakula tunda,anavuna alichokipanda..This is baaaaaaad!!!
 
makubwa!...i'll be back after words 4rom our lovely sponsors
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…