Anawashwa na sperms

Kiluuj

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
692
Reaction score
277
Mpo?

Naomba samahani kwa kukosa nidhamu kwa hili.

Hili ni sana sana kwa ke au hata me ambao pengine wanapitia ninayopitia.

Mke wangu amekuwa akilalamika kwamba ninapommwagia mbegu zangu ndani ya papuchi zinamuwasha endapo nitataka kuendelea!

Hivyo inabidi nizimwage nje kama nitaendelea ndio ya mwisho niimwage ndani.
Hivi ni kweli sperms zinawasha ama ni shere tu?
 
Ni kweli mkuu, wakati mwingine kuna watu wako 'allergic' na sperms. Cha muhimu, muone daktari ili mpate uhakika.
 
Zipo njia tofauti ya kupata fungus. Hizi nazo zinasababishwa na nini?
Kutumia antibiotics mara kwa mara
Mwanamke akiwa mjamzito
Kutumia vidonge vya uzazi wa mpango
N.k
Aende hospitali
 
Labda unakula sana pilipili!😉😉😉😉
Kama hii ndio sababu, basi umegonga ndipo. Sote tunakula pilipili kama nini. Si ile ya kununua(chilli sauce), si ya shambani, si ile ya kupika,,,,,hata usiseme.
 
Haumuandai vya kutosha. Ukimuandaa vizuri hatochubuka na utajilia vyako kwa raha zako.
 
Ukipata mchubuko ndio unawashwa.
Sasa inabidi tumchungulie mkewe tuhakikishe kuwa hana mchubuko halafu turudi kushauri upya.
Kwani mkewe amesema anachubuka?! [emoji13] [emoji12] [emoji1]
 
Mwenye matatizo aweza kuwa mwanaume pia! Nenda hospitali na mkeo mcheki quality ya shahawa zina fungus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…