jessenmutta
Member
- Nov 23, 2013
- 38
- 8
friend yangu ana div 3.10 HGL (BBC), ameapply Law UDSM as first choice ambapo wanahitaji wa2 161 na mpaka sasa wameapply wa2 1495, na course ya pili ni Bcom marketing wanahtaji wa2 71 na washaapply wa2 575. Je kutokana na ujuzi wenu wa matokeo ya A-Level this year anaweza pata kati ya hzo course mbili za UD?
Hapo bahati nasibu kama hiyo bcom angeapply kozi yoyote ya udbs ambayo haina compitition akishapata chuo hapo mlimani kwenye usajili watu wanaobadilisha program huwa wanaruhusiwa
Nina rafiki yangu ana div 3.10 HGL (BBC), ameapply Law UDSM as first choice ambapo wana hata jina wa2 161 na mpaka sasa wameapply wa2 1495, na course ya pili ni Bcom marketing wanahtaji wa2 71 na washaapply wa2 575. Je kutokana na ujuzi wenu wa matokeo ya A-Level this year anaweza pata kati ya hzo course mbili za UD?
Hivi mtu wa HGL anaapply Bcom?
Hivi mtu wa HGL anaapply Bcom?
mbona hata wa KLF wanaapply.