GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Ni kijana wa kiume aliyemaliza kidato cha nne mwaka Jana na kuchaguliwa kuendelea na kidato cha tano mchepuo wa Sanaa mwaka huu.
Hakuweza kuripoti shuleni mwaka huu kwa sababu alikuwa mgonjwa. Nduguze hawakutoa taarifa shuleni.
Anaweza kupokelewa tena shuleni endapo mwakani ataamua kwenda kuripoti?
Kuna anachoweza kufanya kwa sasa ili "kuiokoa" fursa yake ya kusoma?
Hakuweza kuripoti shuleni mwaka huu kwa sababu alikuwa mgonjwa. Nduguze hawakutoa taarifa shuleni.
Anaweza kupokelewa tena shuleni endapo mwakani ataamua kwenda kuripoti?
Kuna anachoweza kufanya kwa sasa ili "kuiokoa" fursa yake ya kusoma?