Salaam GT!
Mdogo wangu amehitimu form four mwaka 2014 ufaulu wake katika mtihani wa NECTA ni Civics- D, History - D, Geog - E, Kiswahili - D, English - C, Physics - C, Chemistry - C, Biology - C na Math - E. Daraja alilopata ni CREDIT. Kwa bahati mbaya hajachaguliwa kujiunga form 5. Nimemshauri apply chuo kozi za afya hataki kwa sababu si ndoto yake kuwa daktari, Nurse au mwalimu. Yeye ndoto yake ni kuwa Mhandisi tena Civil engineer au water engineer.
Kwa ufaulu wake ni wazi hawezi kusoma PCM ambayo ni njia ya kufikia ndoto yake. Naomba ushauri nimsaidiaje dogo afikie ndoto yake?
Mdogo wangu amehitimu form four mwaka 2014 ufaulu wake katika mtihani wa NECTA ni Civics- D, History - D, Geog - E, Kiswahili - D, English - C, Physics - C, Chemistry - C, Biology - C na Math - E. Daraja alilopata ni CREDIT. Kwa bahati mbaya hajachaguliwa kujiunga form 5. Nimemshauri apply chuo kozi za afya hataki kwa sababu si ndoto yake kuwa daktari, Nurse au mwalimu. Yeye ndoto yake ni kuwa Mhandisi tena Civil engineer au water engineer.
Kwa ufaulu wake ni wazi hawezi kusoma PCM ambayo ni njia ya kufikia ndoto yake. Naomba ushauri nimsaidiaje dogo afikie ndoto yake?