Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 25
Haya wapendwa nawaletea kisa kingine.
Kuna mwanamke mmoja mtu mzima, alinifuata nimsaidie kumshauri mpenzi wake aliyenaye angalau akubali kuzaa nae hasa baada ya kukataa kumwoa! Alisema kwa uchungu huku machozi yakimtoka.
Katika mazungumzo yetu, ilibainika kuwa yule mwanamke anawachukia wanaume wote hapa duniani isipokuwa huyo mmoja tu! Na hadi anakutana nae huyo pekee anayempenda alikuwa alikuwa kishakaa karibu muongo mzima bila mwanume na alishaamini kuwa hatahitaji mwanaume hadi mwiso wa maisha yake.
Kuhusu alivyotokea kupendana na huyu mwanaaume, alisema alimsikia siku moja akiongelea vizuri masuala ya malezi ya watoto, akampenda hadi leo! Hana sababu nyingine.
Alimshauri amuoe akakataa, alimshauri wazae mtoto, akakataa. Akaona kila dalili za kurudia maisha yale ya upweke ziko wazi, akajaribu kuzizuia zisifike,
alikuja kwangu nimsaidie, nashukuru, sasa ana ujauzito wa huyo bwana na ana furaha sana, na mpenzi wake ana furaha na amani.
Kuna mwanamke mmoja mtu mzima, alinifuata nimsaidie kumshauri mpenzi wake aliyenaye angalau akubali kuzaa nae hasa baada ya kukataa kumwoa! Alisema kwa uchungu huku machozi yakimtoka.
Katika mazungumzo yetu, ilibainika kuwa yule mwanamke anawachukia wanaume wote hapa duniani isipokuwa huyo mmoja tu! Na hadi anakutana nae huyo pekee anayempenda alikuwa alikuwa kishakaa karibu muongo mzima bila mwanume na alishaamini kuwa hatahitaji mwanaume hadi mwiso wa maisha yake.
Kuhusu alivyotokea kupendana na huyu mwanaaume, alisema alimsikia siku moja akiongelea vizuri masuala ya malezi ya watoto, akampenda hadi leo! Hana sababu nyingine.
Alimshauri amuoe akakataa, alimshauri wazae mtoto, akakataa. Akaona kila dalili za kurudia maisha yale ya upweke ziko wazi, akajaribu kuzizuia zisifike,
alikuja kwangu nimsaidie, nashukuru, sasa ana ujauzito wa huyo bwana na ana furaha sana, na mpenzi wake ana furaha na amani.