Form six!!!!!!!!!!!!! huyu chapa chapa tuuuuuuuuu! shauri yenu! ataanza na mama kisha watoto alafu ndugu zako! alafu wewe playboy subiri nafasi kwenye majeshi ukatoe usongo wako hukooooooooooooo!
kuna kingine unatafuta wewe...
funguka na umalizie CV yako vizuri,
nini zaidi unaweza kufanya endapo utaajiriwa katika nyumba fulani?
BTW houseboy means alot kama ukiamua kuitafutia maana...lol