gashambala uwezo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 485
- 67
kwa wale wenyeji wa Mwanza hasa, nisaidie hili tafadhari,
napenda kufahamu kama chuo hiki kinatoa kozi za ualimu , hasa zile kozi za miaka mitatu
kwa upande wangu nina three point 29 ya Art, Aidha nilifika Mentossori pamoja mukidoma kuuliza
kama wataoffer kozi hii ya miaka mitatu wakasema hapana.
kuna aliyeniambia kuwa watatoa Mweas , nahitaji tu ,udhibitisho wa jambo hili.
asante.
napenda kufahamu kama chuo hiki kinatoa kozi za ualimu , hasa zile kozi za miaka mitatu
kwa upande wangu nina three point 29 ya Art, Aidha nilifika Mentossori pamoja mukidoma kuuliza
kama wataoffer kozi hii ya miaka mitatu wakasema hapana.
kuna aliyeniambia kuwa watatoa Mweas , nahitaji tu ,udhibitisho wa jambo hili.
asante.