Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Some rules against policeman:-Inasikitisha sana kuona jeshi la Polisi limebaki kuwa na kiki na uongo uongo pamoja na rushwa.
Ni nani leo hii Tanzania anaweza kuweka imani kwa jeshi hili? inasikitisha sana hasa sisi ambao wazazi wetu maisha yao yote walikuwa ni Polisi
Kaka usinikataeee bana Chonde chondeNiliwahi kusema humu mwanangu akija kuwa Polisi namkataa Cc ephen_
Kaka pale kituoni kwenu ndio kumejengwa skuizi pamekuwa vile 😁😁😂😁😁Kaka usinikataeee bana Chonde chonde
😂😂😂😂😂 Ewaaaah ni kituo cha mbande, kisewe, msongira mpaka mvuti hukoKaka pale kituoni kwenu ndio kumejengwa skuizi pamekuwa vile 😁😁😂😁😁
Halafu wanalipwa pesa kiduchu na bado wanaotumikia ccmInasikitisha sana kuona jeshi la Polisi limebaki kuwa na kiki na uongo uongo pamoja na rushwa.
Ni nani leo hii Tanzania anaweza kuweka imani kwa jeshi hili? inasikitisha sana hasa sisi ambao wazazi wetu maisha yao yote walikuwa ni Polisi
Halafu cha kushangaza anae simama nyuma ya mick ni kijana tena alie soma. Tumuombe Mungu haya yata pita kama yale ya yule wa parapanda.Inasikitisha sana kuona jeshi la Polisi limebaki kuwa na kiki na uongo uongo pamoja na rushwa.
Ni nani leo hii Tanzania anaweza kuweka imani kwa jeshi hili? inasikitisha sana hasa sisi ambao wazazi wetu maisha yao yote walikuwa ni Polisi
Tunalindwa na Mungu tu.Ni vile ujajua mangapi wanapita wale jamaaa...
Mtu bado anakulinda lakini kila siku mnamsimanga...
Daaah 😂😂😂😂😂😂😂
Ni vile ujajua mangapi wanapita wale jamaaa...
Mtu bado anakulinda lakini kila siku mnamsimanga...
Daaah 😂😂😂😂😂😂😂
Acha jeuri mkuuTunalindwa na Mungu tu.
Kuna kitu umelishwa kuhusu polisi hivo sina la kukusaidia mkuu wanguAnalinda viongozi au wananchi. wananchi wengi wanatekwa na kuombwa rushwa na matrafiki. viongozi wanalindwa na kupeteshwa barabarani sasa unaongelea wananchi wa kawaidia au viongozi. Mimi kwenye nyumba yangu na maeneo yetu wizi kila siku. Tupe mfano wa wananchi wa kawaida kulindwa na Polisi
Nasimama kusema kuwa naamini hili ni jeshi la kiki na rushwa.Inasikitisha sana kuona jeshi la Polisi limebaki kuwa na kiki na uongo uongo pamoja na rushwa.
Ni nani leo hii Tanzania anaweza kuweka imani kwa jeshi hili? inasikitisha sana hasa sisi ambao wazazi wetu maisha yao yote walikuwa ni Polisi