Pre GE2025 Anayedhani NO REFORM NO ELECTION ni kwa faida ya CHADEMA atubu kwa Mungu wake haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na bado kwa hoja nzito namna hii, lazima kichaa kizidi kuwapanda
Watu wanataka ugali nyie mnazungumzia No Reform No Election huku mabwanyenye ya ulaya wanawalambisha asali? Hivi unavyofikiri bibi yako wa ikulyamabambashi ataweza kulala barabarani atake katiba mpya?

Acheni utoto huo mtapata kichaa
 
Watu wanataka ugali nyie mnazungumzia No Reform No Election huku mabwanyenye ya ulaya wanawalambisha asali? Hivi unavyofikiri bibi yako wa ikulyamabambashi ataweza kulala barabarani atake katiba mpya?

Acheni utoto huo mtapata kichaa
Tatizo unawaza tumbo tu. Unasemea ugali wakati watu hawana maji ya uhakika na salama miaka 60+ ya uhuru?
 
Kama unakiri kuwa nia hiyo haipo na kuzuia uchaguzi haiwezekani Je suluhisho lake ni lipi?

Je unataka Wananchi tulihamasishe Jeshi kupindua Serikali iliyopo madarakani?

Kwa nini tufike huko?
Jeshi gani likakusikiliza wewe kapuku, acha kujipaisha kijana ..wewe kazi unayoweza ni kuleta nyuzi za kishamba apa JF.
 
Jeshi gani likakusikiliza wewe kapuku, acha kujipaisha kijana ..wewe kazi unayoweza ni kuleta nyuzi za kishamba apa JF.
Kama naleta nyuzi za kishamba kwa nini unapoteza muda wako ku comment kwenye nyuzi za kishamba?
 
Lusungo Retired Fundi Mchundo Ngongo
 
Wakwanza kutubu awe muandishi nguli wa humu ndani bwana mkubwa mayalla
 
Wakwanza kutubu awe muandishi nguli wa humu ndani bwana mkubwa mayalla
Huyu umri umemtupa mkono saivi kaamua kuwa ndumilakuwili ili wafanya maamuzi wasimsahau kwenye vijiteuzi au ubunge wa kawe.

Kashakuwa hired gun saivi
 
Tatizo unawaza tumbo tu. Unasemea ugali wakati watu hawana maji ya uhakika na salama miaka 60+ ya uhuru?
Unasema watu hawana maji? Nawazia tumbo la Lissu je? Kwa lile tumbo la Lissu si la watu watatu lile? Kungekua na Shida Lissu angepata lile tumbo?
 
Unasema watu hawana maji? Nawazia tumbo la Lissu je? Kwa lile tumbo la Lissu si la watu watatu lile? Kungekua na Shida Lissu angepata lile tumbo?
Endelea kuwakebehi tu masikini wa nchi hii. Siku yaja utajutia maneno yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…