Anayefahamu namba za kumbi za harusi dar es salaam

wanan

Senior Member
Joined
May 11, 2011
Posts
141
Reaction score
42
Wana jf naomba msaada wenu wa kupata namba za wenye kumbi za harusi hapa dar es salaam ili nami nipate kuwe order yangu kwao napenda sana kama unayo ya diamond jublee,nssf water front,ubungo plaza,quality plaza na zingine ili nami niwe na uwanja mpana wa kuchagua,napenda kutanguliza shukurani zangu za dhati kwa wale wote watakao nisaidie,na wale ambao watanipa mawazo yao.Ahsenten


 
Natafuta venue ya harusi ambayo ni ya nje, yenye garden nzuru za kuvutia.
Wenye ideas tumwagieni hapa
 
ingia hii website utapata pia utapata mawasiliano ya wapambaji,washereheshaji MCs na mengine meengi. www.harusiyangu.com

Duh !! Aisee hawa majamaa wamejipanga....wana kila service & connection unayoijua wewe kwenye maswala ya weddings & parties. I hope hamna middlemen hapo cz prices zita inflate !! Otherwise wako vizuri mno !!
 
 
Naomba uniPM kwani mm nafanya huduma za U-MC, Upambaji, kutengeneza keki, kutengeneza kadi za Harusi na kuweka snow katika halfa mbalimbali vilevile nitakusaisdia kupata hizo namba za ukumbi kwani harusi yako ni lini best hongera sana niifahamishe.
 
Naomba uniPM kwani mm nafanya huduma za U-MC, Upambaji, kutengeneza keki, kutengeneza kadi za Harusi na kuweka snow katika halfa mbalimbali vilevile nitakusaisdia kupata hizo namba za ukumbi kwani harusi yako ni lini best hongera sana niifahamishe.

Nami naomba niku-PM kuna jamaa yangu anatafuta MC wa hivi karibuni
 
Natafuta venue ya harusi ambayo ni ya nje, yenye garden nzuru za kuvutia.
Wenye ideas tumwagieni hapa

Hela unayo lakini? Golden Tulip pale wako poa sanaaaa!
 
Naomba uniPM kwani mm nafanya huduma za U-MC, Upambaji, kutengeneza keki, kutengeneza kadi za Harusi na kuweka snow katika halfa mbalimbali vilevile nitakusaisdia kupata hizo namba za ukumbi kwani harusi yako ni lini best hongera sana niifahamishe.

Shosti, hongera sanaaa kumbe mjasiria mali?
 
mpendwa wangu mm ni mjasiriamali wa siku nyingi nashukuru kwa kunipongeza kama nawe unahitaji huduma hizo niPM tutawasiliana bestito
Shosti, hongera sanaaa kumbe mjasiria mali?
 
mpendwa wangu mm ni mjasiriamali wa siku nyingi nashukuru kwa kunipongeza kama nawe unahitaji huduma hizo niPM tutawasiliana bestito

Mi bado niko niko sanaaaaaaaaa! Labda tu nikushauri JINSI GANI UGEUKE TYCOON kwenye hio biashara yako! Mind u lazima mtaji uwe nao!

Marketting consultation nakupa bureeeeeeee! mtu hakunyimi neno bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…