Itakuwa wamekosa dollar za kulipia coverage [emoji16]Habari wadau,
Mwenye kufahamu sababu tafadhali nijuzwe au kama Dstv wapo hapa wanijulishe.
Asanteni.
Jaribu tena Mkuu sasa hivi,zipo hewani zoteHabari wadau,
Mwenye kufahamu sababu tafadhali nijuzwe au kama Dstv wapo hapa wanijulishe.
Asanteni.
Ujinga umewazidi ndo mana Wa-Venezuela wamewachagulia RAISI.TV za Tanzania hazivutii kama za Kenya
hata mimi pia naona hivoTV za Tanzania hazivutii kama za Kenya
Angalau hatuko kama CCM tangu 1963 chama kimoja cha udictatorUjinga umewazidi ndo mana Wa-Venezuela wamewachagulia RAISI.