pole sana kwa hilo tatizo. Unahitaji ujijue vizuri na uzingatia kuwa maisha yako ni muhimu kuliko kutambulishana kwa wazazi. Kama jamaa yako siyo mwaminifu na ndiyo maana mnatumia kondom, je mkioana mtatumia condom milele! Plz think big Lady!
Kwa dunia ya leo,kumpata mwanaume ambaye ni wa kwako peke yako kwa uaminifu cjui atoke wapi!
Cha umuhimu ni kupata tiba tu.