General Chemistry
states of matter
Thermo Chemistry
Chemical kinetics
Chemical equilbrium
Electro Chemistry
Environmental Chemistry
Soil Chemistry
Organic Chemistry
Inorganic Chemistry
-------------------------------------
-------------------------------------
Team Point 3.(AAA)
________________________
©2001
Ni wapi huko THL
dah nakumbuka nyuma pia...pale usagara tanga....inorganic chemistry ilivyokuwa inanikimbzz....uku physics na A.math ukiwa uwanjaa wa nyumbni...necta 2011 nikala kibandaa cha phys hahaha na vi B vya chemistry na math....advnc sitasahau kwakwel.....ni kutoboa ozone tuu na mi nelcon...chand...cjui mitabu gani mingne.....
Mnataka kuwambia madogo wakifika waanze na D-equation, si watakimbia shule!
Phyzsics sio ngumu.,kama ukiibana KISAWASAWA
Huh, kitabu gani bro yamo hayo?
Ugumu wa kitu ni kutokana na wewe unakichukuliaje, inshort mimi nimeshapita hukog, na phys ndio somo rahisi kupata kuona kulinganisha na yale mengine, japo na yenyewe si magumu.Kijana jiandae kisaikolojia kama ndo unaingia Advance Kwa PCM physics ya huko sip kama ya O'level. Nakumbuka necta Yangu ya form four kwenye pepa la physics sikuona swali la kukosa,nauhakika 100% nilifumua mia!! teh teh teh niliwatengenezea marking scheme iliyoshiba swaaafi kabisa.
Mathematicians;
Kiukweli Advanced mathematics hakuna topic ngumu ni juhudi zako kupitia madesa.....
Sasa kusolve hio makitu unatumia calculator au computer?
tuliosoma BAM tunapita kimyakimya tu