Malungwana
Senior Member
- Sep 14, 2013
- 187
- 99
Streptococcal Necrotizing Fasciitis
Ndugu wana jamvi, mwenye ufahamu na ugomjwa huu hapo juu naomba anifahamishe matibabu yake, kuna ndugu yangu nimembiwa ana ugonjwa huu, alianza kutoka kama malengelenge kwenye mkono karibia na bega, yakipasuka yanatoka maji , yale maji yanapofika yantoa malengelenge mengine kwenye mkono, unashambualia ngozi haraka sana, akanza kua kama aliyeungua moto, baada ya siku mbili tu hali ikawa ni mbaya zaidi,kafanya vipimo vyote vya damu, yuko salama, nime attach picha, hii hali ni siku ya pili ndio alikua hivyo, alikwenda hospital ndio Doctor akasema ni ugonjwa huo, unasababishwa na bacteria ambao wanashambulia nyama za mwili haraka sana, amepata matibabu kwa kiasi anaendelea vizuri, ila haponi kwa haraka sana.
Naomba mwenye maelekezo na ushauri zaidi,
Naomba kuwasilisha.
Ndugu wana jamvi, mwenye ufahamu na ugomjwa huu hapo juu naomba anifahamishe matibabu yake, kuna ndugu yangu nimembiwa ana ugonjwa huu, alianza kutoka kama malengelenge kwenye mkono karibia na bega, yakipasuka yanatoka maji , yale maji yanapofika yantoa malengelenge mengine kwenye mkono, unashambualia ngozi haraka sana, akanza kua kama aliyeungua moto, baada ya siku mbili tu hali ikawa ni mbaya zaidi,kafanya vipimo vyote vya damu, yuko salama, nime attach picha, hii hali ni siku ya pili ndio alikua hivyo, alikwenda hospital ndio Doctor akasema ni ugonjwa huo, unasababishwa na bacteria ambao wanashambulia nyama za mwili haraka sana, amepata matibabu kwa kiasi anaendelea vizuri, ila haponi kwa haraka sana.
Naomba mwenye maelekezo na ushauri zaidi,
Naomba kuwasilisha.