Anayefahamu website, blog yoyote kubwa wanayolipa waandishi

Anayefahamu website, blog yoyote kubwa wanayolipa waandishi

A love

Member
Joined
May 17, 2021
Posts
93
Reaction score
119
Habarini za majukumu, ninajua kuna blogs,website na platfom nyimgi tuu za ndani ya nchi na nje ya nchi ambazo hulipa waandishi baada ya kupublishi habari zai.

Kwa mwenye connection ya jinsi ya kujiunga au kupata mawasiliano yao au kujiunga , tusaidiane kujikwamua kiuchumi kupitia uzi huu.
 
Unaandika kwa lugha gani ?

Na je unatumia mtindo ( flow ) gani wa uandishi: Narrative, conversation, news....

Je, unajua SEO ?

Na Je, una tools zozote za kukusaidia kwenye uandishi kama Copyscape, grammarly, etc

Na, Je how do you come up with an idea za kuandika: Una keyword research tools, unaandika tu kulingana na mahitaji ya mteja au unaandika tu kilichopo kichwani ?
 
Unaandika kwa lugha gani ?

Na je unatumia mtindo ( flow ) gani wa uandishi: Narrative, conversation, news....

Je, unajua SEO ?

Na Je, una tools zozote za kukusaidia kwenye uandishi kama Copyscape, grammarly, etc

Na, Je how do you come up with an idea za kuandika: Una keyword research tools, unaandika tu kulingana na mahitaji ya mteja au unaandika tu kilichopo kichwani ?
Niaandika vyote
 
Unaandika kwa lugha gani ?

Na je unatumia mtindo ( flow ) gani wa uandishi: Narrative, conversation, news....

Je, unajua SEO ?

Na Je, una tools zozote za kukusaidia kwenye uandishi kama Copyscape, grammarly, etc

Na, Je how do you come up with an idea za kuandika: Una keyword research tools, unaandika tu kulingana na mahitaji ya mteja au unaandika tu kilichopo kichwani ?
Tupe elimu mkuu
 
Unaandika kwa lugha gani ?

Na je unatumia mtindo ( flow ) gani wa uandishi: Narrative, conversation, news....

Je, unajua SEO ?

Na Je, una tools zozote za kukusaidia kwenye uandishi kama Copyscape, grammarly, etc

Na, Je how do you come up with an idea za kuandika: Una keyword research tools, unaandika tu kulingana na mahitaji ya mteja au unaandika tu kilichopo kichwani ?

Kibongo bongo tunasema umemkatisha mwamba tamaa [emoji23][emoji23].
 
Kibongo bongo tunasema umemkatisha mwamba tamaa [emoji23][emoji23].
Mkuu hakuna pesa kitonga mkuu.

Kuandika ni moja ya kazi inayolipa sana, ila siyo rahisi kama huna hobby ya kukaa kwenye Computer muda mrefu.

Na "contents" ambazo ni easily marketable kwasasa ni za kiingereza, sasa sisi na "Mzarendo" wetu Magu hatupendi lugha ya mabeberu.
 
Mkuu hakuna pesa kitonga mkuu.

Kuandika ni moja ya kazi inayolipa sana, ila siyo rahisi kama huna hobby ya kukaa kwenye Computer muda mrefu.

Na "contents" ambazo ni easily marketable kwasasa ni za kiingereza, sasa sisi na "Mzarendo" wetu Magu hatupendi lugha ya mabeberu.

Hahah, ila kweli Mkuu, uandishi ni kazi ngumu sana inayoitaji mazoezi na kusoma sana. Unaweza andika sentensi 5 akaja editor akazigeuza zikawa maneno matatu tu na hapo unatakiwa kuandika article ya maneno 1400 [emoji23][emoji23]
 
Unaandika kwa lugha gani ?

Na je unatumia mtindo ( flow ) gani wa uandishi: Narrative, conversation, news....

Je, unajua SEO ?

Na Je, una tools zozote za kukusaidia kwenye uandishi kama Copyscape, grammarly, etc

Na, Je how do you come up with an idea za kuandika: Una keyword research tools, unaandika tu kulingana na mahitaji ya mteja au unaandika tu kilichopo kichwani ?
Mkuu nmekuelewa sana, hii ni kazi inayohitaji maarifa, labda nishauri uweze kushare ulichonacho kumsaidia jamaa na wengine. Kwa upande wangu nilianzia kusoma foundation course ya Google garage ni course ya bure inatolewa na Google inatumia masaa 40 kuna maswali na assignment, mwisho unafanya mtihani kuweza kupata certificate.

Baadae nikasoma course zingine Udemy na Coursera kuspecialize kwenye Search Engine Marketing, SEO, keyword reseach na Google Analytics. Provided nilikua na background ya research and grant proposals writing ikawa rahisi kwangu kufanya hii kitu.

Hizi course baadhi ni free nyingine unaomba scholarship na unapata kuweza kuzisoma, pia unaweza kuongezea course zingine kama Graphic design kwa kutumia Canva, adobe photoshop, video editing and subtitle.
Ukiwa na nia utafika unapopataka.

Reference materials

Platforms za kufanyia freelancing
www.Upwork.com
www.freelancing.com
www.fever.com
Hizi 3 ndio biggest kwa sasa, zipo nyingine nyingi kazi kwako.

Alunta continua
 
Mkuu nmekuelewa sana, hii ni kazi inayohitaji maarifa, labda nishauri uweze kushare ulichonacho kumsaidia jamaa na wengine. Kwa upande wangu nilianzia kusoma foundation course ya Google garage ni course ya bure inatolewa na Google inatumia masaa 40 kuna maswali na assignment, mwisho unafanya mtihani kuweza kupata certificate.

Baadae nikasoma course zingine Udemy na Coursera kuspecialize kwenye Search Engine Marketing, SEO, keyword reseach na Google Analytics. Provided nilikua na background ya research and grant proposals writing ikawa rahisi kwangu kufanya hii kitu.

Hizi course baadhi ni free nyingine unaomba scholarship na unapata kuweza kuzisoma, pia unaweza kuongezea course zingine kama Graphic design kwa kutumia Canva, adobe photoshop, video editing and subtitle.
Ukiwa na nia utafika unapopataka.

Reference materials

Platforms za kufanyia freelancing
www.Upwork.com
www.freelancing.com
www.fever.com
Hizi 3 ndio biggest kwa sasa, zipo nyingine nyingi kazi kwako.

Alunta continua
Safi sana mkuu
 
Mkuu nmekuelewa sana, hii ni kazi inayohitaji maarifa, labda nishauri uweze kushare ulichonacho kumsaidia jamaa na wengine. Kwa upande wangu nilianzia kusoma foundation course ya Google garage ni course ya bure inatolewa na Google inatumia masaa 40 kuna maswali na assignment, mwisho unafanya mtihani kuweza kupata certificate.

Baadae nikasoma course zingine Udemy na Coursera kuspecialize kwenye Search Engine Marketing, SEO, keyword reseach na Google Analytics. Provided nilikua na background ya research and grant proposals writing ikawa rahisi kwangu kufanya hii kitu.

Hizi course baadhi ni free nyingine unaomba scholarship na unapata kuweza kuzisoma, pia unaweza kuongezea course zingine kama Graphic design kwa kutumia Canva, adobe photoshop, video editing and subtitle.
Ukiwa na nia utafika unapopataka.

Reference materials

Platforms za kufanyia freelancing
www.Upwork.com
www.freelancing.com
www.fever.com
Hizi 3 ndio biggest kwa sasa, zipo nyingine nyingi kazi kwako.

Alunta continua
Saf
 
Back
Top Bottom