Hiki chama hakieleweki kinataka nini na kinapigania nini.
Kimekaa kiunjanja unjanja tu.
Kimekaa kitabaka (Udini).
Mikutano yake imekaa kijanja janja tu.
Zitto kiongozi wao mwandamizi haeleweki anapigania nini.
Chama hakina sera kabisa.
Eti hiki chama nacho kinataka madaraka ya kuongoza nchi yetu? [emoji2960]
Nani anakielewa hiki chama anielezee. Sikuelewi kabisa.
Kimekaa kiunjanja unjanja tu.
Kimekaa kitabaka (Udini).
Mikutano yake imekaa kijanja janja tu.
Zitto kiongozi wao mwandamizi haeleweki anapigania nini.
Chama hakina sera kabisa.
Eti hiki chama nacho kinataka madaraka ya kuongoza nchi yetu? [emoji2960]
Nani anakielewa hiki chama anielezee. Sikuelewi kabisa.