kaka coasco ni shirikisho la ukaguzi la vyama vya ushirika,kazi yao ni kukagua vyama vya ushirika,sina uhakika na malipo yao ila kuna maslahi mazuri,nishafanya nao kazi walikuja kukagua vyama vyetu,mie ni afisa ushirika.
Wapendwa wanaJF,
Salamu.
Nimeitwa kwenye usaili COASCO wa Assistant Auditor. Ila kwa sasa ninafanya kazi sekta binafsi. Si ifahamu vizuri COASCO. Wakati naomba kazi nilikuwa sina kazi na ilikuwa mwezi wa tatu. So, kwa mdau yoyote anayefahamu COASCO ikiwemo malipo yao, naomba anijuze. Utakua umenisaidia kufanya maamuzi sahihi aidha kuondoka huku niliko au kubaki na kupunguza ushindani kwa wasailiwa wengine.
Ni hayo tu wanabodi.
Nawasilisha.
wameajiri watu hawana hata vyeti kisa ni ndugu na dg au dhra.
lutamyo unachosema ni kweli kwa 85% ila tu COASCO watamkagua nani kwani Vyama vya ushirika siku hizi havipo na SACCOS zote zimeliwa na viongozi wao sasa hata ukikagua huna Mamlaka ya kuwashtaki wabadhirifu mpaka Mkutano Mkuu wa Mahesabu wa wanachama wote, kwa hiyo Money Maker km unataka uende ukatengeneze posho na Night ni ngumu jamaa yangu, hapo ni mpaka upangiwe Chama cha kukagua na huko Meneja/Mhasibu au Mweka Hazina awasiliane na Mwenyekiti wa chama wajadiliane ili wachomoe posho za wajumbe wakutupie ya lunchKwa hili hata kama ni ukweli halina uhakika pamoja na shirika kujaa wachaga wote wanavyeti...... Ambao unasema hawana vyeti niwazee walioajiriwa na mfumo wa mwalimu Nyerere mtu ame maliza form iv apate ajira. Lakini kwa ajira ambazo mimi mwenyewe nilishiriki moja ya interview wote waliopata ajira ni gradute sasa sijui wewe unamaanisha kada ipi ambayo wameajiri pasi vigezo.
MoneyMaker kama wewe ni professional basi unajua thamani yako ni ipi, mimi nikienda kwenye usaili wowote ule nitasema nipeni kiasi fulani zaidi ya hapo sikubaliani na hiyo ajira yao, wewe kwa sasa labda uulizie life ya Dodoma ikoje, namaanisha msosi, nyumba, matibabu na starehe garama zake kwa hapo mkoani zikoje, ndio utakuwa na wakati mzuri wa kuomba kiasi fulani cha mshahara.
Sina detail zaidi ya hizo mkuu
lutamyo unachosema ni kweli kwa 85% ila tu COASCO watamkagua nani kwani Vyama vya ushirika siku hizi havipo na SACCOS zote zimeliwa na viongozi wao sasa hata ukikagua huna Mamlaka ya kuwashtaki wabadhirifu mpaka Mkutano Mkuu wa Mahesabu wa wanachama wote, kwa hiyo Money Maker km unataka uende ukatengeneze posho na Night ni ngumu jamaa yangu, hapo ni mpaka upangiwe Chama cha kukagua na huko Meneja/Mhasibu au Mweka Hazina awasiliane na Mwenyekiti wa chama wajadiliane ili wachomoe posho za wajumbe wakutupie ya lunch
Mshahara sio mbaya ila hutakuwa hapo Makao makuu Dodoma lazima utapangiwa kwenye Branch zao za Iringa, Arusha, na mikoani ombea upangiwe ile Mikoa yenye Ushirika hasa km Kagera, Kilimanjaro Mwanza, Mbeya Shinyanga, Arusha nk
La sivyo endelea hapo ulipo usije ukakosa kote maana hawa Maafisa Ushirika wa Hizo wilaya au Mikoa wana Conflict interest na usimamizi hasa suala la nani asikilizwe kati yao na Ma-Auditor wa COASCO