kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
Ndugu zangu habari za muda huu, naomba kujuzwa kwa mabaye nafahamu MKOA wa MWANZA Halmashauri ya wilaya KWIMBA sehemu inaitwa ICHEJA.
Hali ya hewa ya maeneo hayo ipoje?
Ni umbali gani kufika mwanza mjini (jiji)?
Je, ni mbele ya mwanza jiji au ni nyuma ya mwanza jiji au ipo pembeni mwa mwanza jiji ?
Ustaarabu wa wakazi wa maeno ayo upoje?
shughuli za kiuchumi kwa ameno ayo ni zipi aswa?
Na mengineyo unayo fahamu kuhusu wilaya iyo ya KWIMBA
Je, unanishauri nini mimi ambaye nataka kutoka mkoa wa DAR ES SALAAM na kuamia WILAYA iyo
Karibuni kwa majibu na ushauri wenu.
Hali ya hewa ya maeneo hayo ipoje?
Ni umbali gani kufika mwanza mjini (jiji)?
Je, ni mbele ya mwanza jiji au ni nyuma ya mwanza jiji au ipo pembeni mwa mwanza jiji ?
Ustaarabu wa wakazi wa maeno ayo upoje?
shughuli za kiuchumi kwa ameno ayo ni zipi aswa?
Na mengineyo unayo fahamu kuhusu wilaya iyo ya KWIMBA
Je, unanishauri nini mimi ambaye nataka kutoka mkoa wa DAR ES SALAAM na kuamia WILAYA iyo
Karibuni kwa majibu na ushauri wenu.