Anayeijua Clouds City vyema njoo hapa

Anayeijua Clouds City vyema njoo hapa

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,548
Reaction score
9,740
Wakuu, kila mtu apambane na hali yake ,

Kuna hivi. Viwanja wanatangaza clouds FM kwenye mji wameuita clouds city,
SQM 1 wanauza 8,000/-

Ina maana kiwanja cha sqm 800 ni 6.4M,

Viwanja hivi vipo sehemu inaitwa tundwi Songani, wanakupa ofa ya kulipa kwa miezi 33,

Sasa shida yangu kuja kwenu ni moja, je bei hii ni nzuri kweli? Ukizingatia kiwanja wanadai kipo KM 39 kutoka ferry, (Sijui ka ni kweli)
Pia nahofu isije kuwa tunapigwa bei kubwa sana

IMG_20230818_195427.jpg
 
Nendeni mkajazwe

Muishi jirani na kipanya

Ova
 
sikuizi biashara kubwa za maredio ni Viwanja na kamari.....
 
Ungeenda site kwanza uje utupe mrejesho wa kile ulichokiona huku afu sisi tutakushauri
 
Ungeenda site kwanza uje utupe mrejesho wa kile ulichokiona huku afu sisi tutakushauri
Mm nilikuwa nategemea nipate mzoefu japo anayejua mazingira kabla sijachoma muda kwenda huko
 
Viwanja vinatafutwa ukiwa na hela,, ukiona vinatangazwa jiongeze,,

DAR ndio hii.
 
Kwa sasa sqm 400 mpaka 700 vimeisha ebdeeni kuogopa, mm nimechukua cha sqm 550 nalipa kidogo kidogo kwa mwezi 120k tu. Miaka 10 ijayo tuje kuulizana
 
Back
Top Bottom