Anayeijua kwa ufasaha historia ya Sayyid Othman Bin Muhammad Nur

Anayeijua kwa ufasaha historia ya Sayyid Othman Bin Muhammad Nur

Grand Master Dulla

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
411
Reaction score
148
Jamani samahanini wadau naomba kuuliza kwa wale wakali wa QADIRIYA kuna yeyote anayeijua kwa ufasaha historia ya SAYYID OTHMAN BIN MUHAMMAD NUR wa Tunduni Mchangani Zanzibar?

Kama yupo tafadhali naomba atujuze maana nimeitafuta kila sehemu lakini sijaipata wala hakuna vitabu vinavyomuelezea wakati ni mtu mkubwa mno na hata kama anazo picha zake atusaidie pia atujurishe alifariki lini na alizaliwa wapi na lini kama ana info hizo tafadhali.
 
Hili jukwaa halina watu ama? Au lina nini hakuna hata mmoja anayemjua Sayyed jamani?
 
Back
Top Bottom