Anayejua Azam Upholstery wanachaji bei gani seat covers za gari kushona aweke humu website yao iko empty haionyeshi bei

Anayejua Azam Upholstery wanachaji bei gani seat covers za gari kushona aweke humu website yao iko empty haionyeshi bei

Okay nilienda kuwacheki.

Iko hivi, kama walivyo Safari, hawana bei fixed, bei zina tofautiana kutokana na vitu vingi:

•Kitambaa na material utakayochagua.
•Gari yako size gani/seat ngapi.
•Package utakayochagua ie: unasona seat tu, roofline, dashboard, milango, buti, nk.
•nk

Kwahiyo kusema tu bei uwongo bila kwenda wafanye assessment wakupe quotation ukajipange.
 
Anayejua Azam Upholstery wanachaji bei gani seat covers za gari kushona aweke humu website yao iko empty haionyeshi bei za hizo products zao wanatangaza kwenye Tv hamna bei kwenye TV na website zao hamna bei
Wako vuzuri, mimi niliwapigia simu kwa namba wanayoonyesha kwenye TV na walinipa maelekezo kulingana na gari yangu na gharama pia walinitajia, wapigie kwa namba zao zinazoonekana kwenye tangazo la Tv.
 
Okay nilienda kuwacheki.

Iko hivi, kama walivyo Safari, hawana bei fixed, bei zina tofautiana kutokana na vitu vingi:

•Kitambaa na material utakayochagua.
•Gari yako size gani/seat ngapi.
•Package utakayochagua ie: unasona seat tu, roofline, dashboard, milango, buti, nk.
•nk

Kwahiyo kusema tu bei uwongo bila kwenda wafanye assessment wakupe quotation ukajipange.
Haina shida waweke tu bei na maelezo ya package kuwa hii bei hii ingine bei hi na inahusu nini mteja aamuu kwa mfuko wake kipi achukue hata hoteli vyumba bei hutofautiana ,magari pia ndege pia

Sidhani kama ni sahihi kusumbua mteja hadi apige simu kwenye ulimwengu huu wa digital kwa businessman ni kutomtendea haki mteja

Website inatakiwa kuwa loaded na information zote sio zinakuwa siri kama uchawi hadi mtu apige simu muongee kibinafsi kama mko chumbani

Narudia sipigi simu bei ziwe open kipil bei gani
 
Anayejua Azam Upholstery wanachaji bei gani seat covers za gari kushona aweke humu website yao iko empty haionyeshi bei za hizo products zao wanatangaza kwenye Tv hamna bei kwenye TV na website zao hamna bei
Ila pale Mbezi Africana mitaa ya nyuma ya NMB kuna watu wanaweza kufanya kazi hìyo hiyo kwa Tsh 1,000,000 au chini zaidi
 
Haina shida waweke tu bei na maelezo ya package kuwa hii bei hii ingine bei hi na inahusu nini mteja aamuu kwa mfuko wake kipi achukue hata hoteli vyumba bei hutofautiana ,magari pia ndege pia

Sidhani kama ni sahihi kusumbua mteja hadi apige simu kwenye ulimwengu huu wa digital kwa businessman ni kutomtendea haki mteja

Website inatakiwa kuwa loaded na information zote sio zinakuwa siri kama uchawi hadi mtu apige simu muongee kibinafsi kama mko chumbani

Narudia sipigi simu bei ziwe open kipil bei gani
Kila mtu ana namna yake ya kufanya biashara, usilazimishe wafanane

Sio wote wanaweka bei, hata bei unazo Ziona katika websites nyingi sio halisia ni kwa ajili ya marketing pekee

Kila taasisi au kampuni ina namna yake ya kuendesha mambo yake

Ukiona sio mahala sahihi kwako basi wapo wanao weza kwenda na kupiga simu ili wapate maelezo zaidi

Jitahidi kufata taratibu zao na sio zako ili upate unachotaka. Tofauti na hapo achana nao na tafuta unao fanana nao
 
Haina shida waweke tu bei na maelezo ya package kuwa hii bei hii ingine bei hi na inahusu nini mteja aamuu kwa mfuko wake kipi achukue hata hoteli vyumba bei hutofautiana ,magari pia ndege pia

Sidhani kama ni sahihi kusumbua mteja hadi apige simu kwenye ulimwengu huu wa digital kwa businessman ni kutomtendea haki mteja

Website inatakiwa kuwa loaded na information zote sio zinakuwa siri kama uchawi hadi mtu apige simu muongee kibinafsi kama mko chumbani

Narudia sipigi simu bei ziwe open kipil bei gani
We una gubu sana.
 
Back
Top Bottom