Mnaposema mechi zote hadi EPLmechi zote ?Ka wapenzi wa mpira wanakipendea kwa ajili ya soka pekee kwa sababu ya unafuu wa vifurushi vyao.
ila kama unataka kuangalia taarifa ya habari kwenye Canal Soprt hakikisha una mkalimani kando yako.
Kwa experience yangu sio mechi zote! BALI I MECHI MUHIMU AMBAZO HATA WEWE UNAWEZA KUKAA SEBULEI KWAKO KUITAZAMA.Mnaposema mechi zote hadi EPLmechi zote ?
Tupo mkuu Crystal Palace na Burnley mbona bonge la gemu? Watu tunaangalia na kufatilia mpaka Championship sembuse mechi ya Premier LeagueKwa experience yangu sio mechi zote! BALI I MECHI MUHIMU AMBAZO HATA WEWE UNAWEZA KUKAA SEBULEI KWAKO KUITAZAMA.
Sidhani kama kuna mtu anayeweza kaa sebleni akitazama crystal palace akiumana na Burnley.
Niko hapa mkuu,nauza na kufanya malipo kwa wote wanaohitaji huduma hiyoSina mtu aliye burundi kwa ajili ya kunilipia.
Nilifuatilia hii ishu na hapo ndipo pakanipa ugumu
Nakipataje mkuu??
Sasa ndugu yangu siku ukipotea tu itakuaje hapo?Niko hapa mkuu,nauza na kufanya malipo kwa wote wanaohitaji huduma hiyo
Sisi ni timu kaka,siyo one man show,kwahyo ondoa shaka kakaSasa ndugu yangu siku ukipotea tu itakuaje hapo?