Anayejua historia ya bondia Lucas Msomba aniambie

Anayejua historia ya bondia Lucas Msomba aniambie

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Msaada jamani kwa wanaojua historia ya mwanamasumbwi LUCAS MSOMBA maana naskia amewahi kuchukua medali Urusi.
 
Jamani wanajf habari!

Naomba kufahamu historia ya mwanamasumbwi LUCAS MSOMBA maana naskia amewahi kuchukua medali kutoka URUSI.

Nawasilisha matusi noooooooo
 
Jamani wanajf habari! Naomba kufahamu historia ya mwanamasumbwi LUCAS MSOMBA maana naskia amewahi kuchukua medali kutoka URUSI. Nawasilisha matusi noooooooo
Tafuta pesa wewe acha kufuatilia historia za mume wa mtu.
 
Msomba asili ni Mbeya lakini alirudi nchini akitokea Zambia aliko lelewa na kujifunza ngumi,ikumbukwe Zambia kulikuwa na Watanzania wengi wahamiaji hasa kutoka mkoa wa Mbeya walioenda kufanya kazi migodini Northern Rhodesia(Zambia), huyu alikuwa kundi mmoja na akina Emmanuel Mlundwa kwenye mambo ya ndonga ni miaka mingi imepita.
 
Msomba asili ni Mbeya lakini alirudi nchini akitokea Zambia aliko lelewa na kujifunza ngumi,ikumbukwe Zambia kulikuwa na Watanzania wengi wahamiaji hasa kutoka mkoa wa Mbeya walioenda kufanya kazi migodini Northern Rhodesia(Zambia), huyu alikuwa kundi mmoja na akina Emmanuel Mlundwa kwenye mambo ya ndonga ni miaka mingi imepita.
Asante mkuu kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom