Anayejua Historia ya mji wa Kyela

Anayejua Historia ya mji wa Kyela

ngumbuke

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
495
Reaction score
527
Salamu kwa kwa wana JF wa jukwaa la historia. Napenda kujua historia ya mji huu ulioko mpakani mwa nchi ya Malawi katika mkoa wa Mbeya ambao ni maarufu sana kwa kilimo cha mpunga na kakao. Jina hilo lina maana gani? kuna mtu mashuhuri sana alifahamika kwa jina la Mwakilembe, je ana uhusiano gani na mji wa Kyela au Wanyakyusa? Ukoo wa Korosso je?
 
Back
Top Bottom