Karabhahii
New Member
- Jul 20, 2022
- 4
- 0
Unahis umetongozwa na mmoja wao nn.. vinaja achen kupenda kitongaJF Naomba kuuliza. Waziri Mstaafu Mizengo Pinda ana watoto wa4.
Naombeni sana mnisaidie majina yao. Watu wanapigwa huku mtaani. Kwenye biography mitandaoni wanaandika tu 4 children ila hakuna majina yao. Anejua please. Asanteni
Akili yako fupi ndo imeishia hapo kufikiria๐๐๐vijana wa ovyo sana unawaza mapenzi tu hasara kweliUnahis umetongozwa na mmoja wao nn.. vinaja achen kupenda kitonga
๐๐๐๐๐asante๐คฃ๐คฃ๐คฃ muulize karani wa sensa ๐๐