Kwanza kabsa kama unayo makopa yenyewe (yani mihogo ambayo ishaanikwa juani mpaka kubadilika rangi), Unachotakiwa kufanya roweka hayo makopa katika maji kama kwa siku moja si uanjua yanakuwaga magumu kama vigogo, kwahiyo yaroweke kwa usiku mmoja, halafu ndo usuueze yale maji ulorowekea ufanye kama unaosha kidogo unayabandika na kuipika kama mihogo ya nazi, ila makopa watia hiliki na sukari, Kama huna makopa una mihogo mizuri kwanza ianike juani mpaka ioze flani lol, baada ya kumaliza kuelezea nimeyatamani.