Terrible Teen
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 1,009
- 2,934
ndio maana hapa nilipo mi napiga mkuu, asubuhi hii penyewe nishaingiza milioni nne kwa ujanja ujanjaUzalendo siyo kupingana namafisadi tu Bali hata kuipenda nchi, watu wake na maisha yao kwa ujumla ni uzalendo. Sasa tujiulize kama mtu kaingia madarakani kafuta Ajira na kuwaacha vijana wakielea mtaani bila Ajira huku yeye na watu wake wakila MDMA ya nchi huo ndio uzalendo kweli?
Mimi naona kila mtu ale kulingana na urefu Wa mamba yake ukipata upenyo pigs tu wala usijali hakuna mzalendo Tanzania
umeona eeeeeIn short hata hawa wapiga makofi wa JF wanaojifanya eti Wazalendo kimsingi sio kwamba Wazalendo!!
Kwavile wana uhaba wa maarifa wanadhani uzalendo ni kuunga mkono kila anachosema au kufanya rais wakati uzalendo ni inner most positive feelings towards your country!!!!!
Hawa wanaojifanya Wazalendo sio kwamba Wazalendo kwa nchi yao bali ni "wazalendo" kwa chama chao kitu ambacho hakipo!!!!
ndio maana hapa nilipo mi napiga mkuu, asubuhi hii penyewe nishaingiza milioni nne kwa ujanja ujanja
Mkuu hebu vuta pumzi kubwa na uishushe taratiiiibu! Vanya zoezi hilo mara tatu angalau kwa siku, vinginevyo utaugua "depression" wakati ndio kwanza tupo Msata.JAMAA kauza na kugawa nyumba za serikali hadi kwa mahawara. Meli na kivuko kapiga panga.
Lenyewe likishashindilia na kubughia miugali yake ya bure huko Ikulu nakuvimbiwa linatoka nje nakubwabwaja eti tuwe wazalendo.
Sisi tunaomjua vizuri alikuwa anawafuata hadi ofisini makandarasi apewe 10% yake tena kwa kufosi. Yote hayo sawa tukapotezea lakini BILA AIBU JAMAA KWA UBABE LINAIBA RAMBIRAMBI bila aibu. HALAFU LINA HUBIRI WATU WAWE WAZALENDO.
Linani hilo jameni?JAMAA kauza na kugawa nyumba za serikali hadi kwa mahawara. Meli na kivuko kapiga panga.
Lenyewe likishashindilia na kubughia miugali yake ya bure huko Ikulu nakuvimbiwa linatoka nje nakubwabwaja eti tuwe wazalendo.
Sisi tunaomjua vizuri alikuwa anawafuata hadi ofisini makandarasi apewe 10% yake tena kwa kufosi. Yote hayo sawa tukapotezea lakini BILA AIBU JAMAA KWA UBABE LINAIBA RAMBIRAMBI bila aibu. HALAFU LINA HUBIRI WATU WAWE WAZALENDO.
Neno Uzalendo lipo kwa ajili ya kupumbaza wajinga,Uzalendo aliondoka nao Mwalimu Nyerere. Sasa hivi ukipata chance piga vizuri sana,nawasifu sana wakina Chenge,Mkapa,JK,Rugemalila,Lowasa,Manji hao ndio wanajua kutumia fursa vizuri.
Uzalendo alikufa nao baba wa Taifa! hapa ni maslahi tu...
Binafsi nadhani ana nia nzuri.
Lakini sidhani anajua anakoelekea.....
Yupo yupo tu
kwa maoni yake hata Mimi naona ana nia nzuri lakini hajui anakoelekea yupoyupo na anarukaruka tu