Mimi kila nikisikia anayofanya huyu jamaa,kwa kweli moyo unaniuma sana
Huyu anaharibu uchumi
Anaharibu demokrasia
Anaharibu kila kitu,huyu mtu ni kama kiwavi jeshi ndani ya shamba Tanzania
Hhahaaa,kiwavi jeshi jamani jamaniKiwavi jeshi
Rais anatupeleka kwenye uchumi wa kati, tanzañia ya viwanda na nchi ya wafanyakazi zinazotamvulika siyo wapiga dili.........kama unakaziyako unakuwaje na wasiwasi we jenga nyumba na peleka watoto shule wenzako ndo wanafanya hivyo ila kama ni mjanja mjanja mjini hapa tafuta kazi ulipe kodi....hayo tu.........sisi mbona rais tulishamuelewa kitaambo....Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?
Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Awamu ya pili ya ukombozi inalisubiri Taifa hili. Sio hawa viongozi.Ndugu wa na JF,
Kwa moyo uliojaa simanzi napenda kuwauliza viongozi wetu wastaafu (Maraisi, Mawaziri, Wabunge, Makatibu), JE, MUSTAKABALI WA TAIFA LETU BADO UNAWAHUSU?
Ni kweli kwamba uongozi wa AWAMU YA 5 unajitahidi kufanya mengi mazuri na yanayostahili pongezi. Hata hivyo, naona MISINGI YA UTAWALA BORA NA KUFUATA SHERIA NA KANUNI ni kama unatikisika. Swala la Uhuru wa kujieleza, vyama vya upinzani, uwajibikaji, Uhuru wa vyombo vya habari, nk imekua shida.
VIONGOZI WASTAAFU, Je, ni kweli hamna cha kumshauri kiongozi wetu kwa nia ya kuboresha utendaji wake? Tanzania BADO inawahusu? Je, kazi yenu ni kusifia tu bila kuwa na ukosoaji (positive criticism).
* Mmelisikia swala la M-Nyet? Akiwa bado na tuhuma, kawa promoted.... Hii inavunja imani ya wananchi kwa vyombo vya usalama.
* Vyeti feki ni kwa baadhi ya watu, wengine hawagusiki.
Viongozi WASTAAFU, Je, TANZANIA BADO INAWAHUSU??
(Mods... Nawaomba msiunganishe Uzi huu na mwingine!! Plzz!!)
Mungu ibariki Tanzania.
Ndugu wa na JF,
Kwa moyo uliojaa simanzi napenda kuwauliza viongozi wetu wastaafu (Maraisi, Mawaziri, Wabunge, Makatibu), JE, MUSTAKABALI WA TAIFA LETU BADO UNAWAHUSU?
Ni kweli kwamba uongozi wa AWAMU YA 5 unajitahidi kufanya mengi mazuri na yanayostahili pongezi. Hata hivyo, naona MISINGI YA UTAWALA BORA NA KUFUATA SHERIA NA KANUNI ni kama unatikisika. Swala la Uhuru wa kujieleza, vyama vya upinzani, uwajibikaji, Uhuru wa vyombo vya habari, nk imekua shida.
VIONGOZI WASTAAFU, Je, ni kweli hamna cha kumshauri kiongozi wetu kwa nia ya kuboresha utendaji wake? Tanzania BADO inawahusu? Je, kazi yenu ni kusifia tu bila kuwa na ukosoaji (positive criticism).
* Mmelisikia swala la M-Nyet? Akiwa bado na tuhuma, kawa promoted.... Hii inavunja imani ya wananchi kwa vyombo vya usalama.
* Vyeti feki ni kwa baadhi ya watu, wengine hawagusiki.
Viongozi WASTAAFU, Je, TANZANIA BADO INAWAHUSU??
(Mods... Nawaomba msiunganishe Uzi huu na mwingine!! Plzz!!)
Mungu ibariki Tanzania.