Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Basi hamia Kenya hapo, si gharama sana, kuna Zambia, Mozambique.
Hamia huko mkuu.
Wacha nijapange mkuu hizo nchi walau akili za kujitambua kama binadamu wanazo wao ni tofaut kidogo na wanyama
 
Kwani TAKUKURU wamethibitisha kuwa TAARIFA dhidi ya WATUHUMIWA zina harufu ya UKWELI? kama bado hakuna UHALALI wa KULAUMU
 
Hamia Rwanda Mkuu..
Naona Mashoga mmevamia Uzi wa mishede. Mwanaume kujibu Uzi wa mwanaume tofauti na Content ya Uzi huo ni ushoga, Acha kujipendekeza na kuwashwawashwa huo uvimbe. Watafute Mashababi yakukamua huo uvimbe-mjazo na sio kuja kujitongozesha kwenye nyuzi za wanaume wenye akili.


Gasho Wewe
 
Kwani TAKUKURU wamethibitisha kuwa TAARIFA dhidi ya WATUHUMIWA zina harufu ya UKWELI? kama bado hakuna UHALALI wa KULAUMU

Mkuu kama ndo hivyo tunasubiria sheria ichukue mkondo wake why wakina mhongo wasiwe na sifa za kubak wirazani?
 
Wewe ndio wa hovyo hovyo kabisa. Kwa sasa Taifa linapitia kipindi cha kuelekea maendeleo ya kweli. Kaa na wivu wako na mavidonda yako ya tumbo.
 
Kwa umasikini nilionao nisingebaki Tanzania kama pesa ninayo ningehamisha familia yangu kwenda nje ya nchi hii si kuendelea kushuhudia upuuzi huu hata vizazi vyangu vitalisi huu ujinga nawahurumia mno.
Jinyonge tu
 
Reactions: Oii
Pole

pole kila jambor na wakati wake muda ukifika ataondoka
 
Huja lazimishwa mkuu kuishi Tz unaweza omba uraia nchi nyingine, harafu baada ya mwaka njoo hapa utupe mrejesho.
 
Nenda Congo au Somalia
Jibu rahisi to a complex moral decay. Jamaa anatengeneza taifa jipya tofauti na aliloliasisi JKN.
Mimi kitambo nilikwishajua kuwa anachokisema sio anachokipractice. Pole yako Tz uliikataa rasimu ya Warioba sasa ndio uijue hii katika ikoje.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…