Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Na wewe ndo wale mnaoishi kwa HOFU?
Pole sana, anza tu kufanya kazi halali utaishi bila hofu kama sie wengine.
Wewe mwenyewe unaishi kwa hofu,hata kama umo ndani ya kundi kwani kesho yako hui jui mkuu.
 
Tunataka rais wa kazi lakini sio kazi za kuondoa utu wa binadamu mwenzake, kiongozi asiye na haya hata kidogo hafai kuongoza taifa lolote au sehemu yoyote....
Tumejaa unafiki kupitilzaaa,JK tulimdharau sana na matusi kibao, sasa kaja mzee wa kazi tunalialia tu. Acha tunyooshwe labda tutakuwa na akili timamu kwa kwel. TUKOSALAMA
 
Haya mkuu
 
Kuna watu Mungu akiwachukua kwasababu yoyote ile,ni kumkufuru Mungu kuvaa mavazi meusi na kuomboleza.
 
Yhe hopeless leaders came into power by joining forces with criminals, these crooks aren't care of others life till their throats will be slushed.

Hii laana ilianzia kwa nyerere imesambaa kizazi na kizazi.
 
Tumejaa unafiki kupitilzaaa,JK tulimdharau sana na matusi kibao, sasa kaja mzee wa kazi tunalialia tu. Acha tunyooshwe labda tutakuwa na akili timamu kwa kwel. TUKOSALAMA
Hata hivyo ubovu wa magufuli hauwezi kumdànya kikwete awe mbora. Jk alikuwa mtu wa hovyp, Jiwe ni wà hovyo kabisa.
 
Msimu wa Kilimo,Kama mnataka Mali mtaipata shambani,Mwanaume halalamiki!
 
Tunataka rais wa kazi lakini sio kazi za kuondoa utu wa binadamu mwenzake, kiongozi asiye na haya hata kidogo hafai kuongoza taifa lolote au sehemu yoyote....
BASI KAONGOZE NA WEWE, tulio nje nje box (white house) mengi hatujui ila kukosoa tu ndo tunachokijua.
Kaa ukijua uongozi ni dhamana na vita ni mapambano.
Cku ukijua ikulu si mahali pa kitoto nadhani utajihidhuru mapema sana kama ndo wewe,
JPM hafurahishwi na hili, hii ni vita kali sana baada ya kutangaza vita ya kiuchumi ndgu, tutachekwavibay sana endapo atalegeza katikati ya uwanja wa medani.

kiusalama kuna vitu vingi hatuvijui.Rais pambana hadi mwisho, mambo mengine ni nyeiti kuyasema hadharani hasa ya kiusalama wa nchi iliyo vitani
 
Hata hivyo ubovu wa magufuli hauwezi kumdànya kikwete awe mbora. Jk alikuwa mtu wa hovyp, Jiwe ni wà hovyo kabisa.

Na wew ni wa hovyo kupindukia, sasa kama umeona ubovu wao kwanini unaendelea kutawaliwa na wa hovyoo,
JITATHIMINI kwanza mwenyewe uhovyo wako na umefanya nini katika taifa hili tofauti na walichokifanya wa hovyo,
Hahahaaaa, 2020 Natamani ni uone uhovyo wako wa kupindukia pia. tusilumbane paspo kujua aisee
 
Pole kwa povu
 
ndugu yangu umewataja hawa wsnaojulikana kina benn azory nk ila tambua kuna wale wasiokua na majina makubwa kwenye jamii hii mfano Jana nilipitia maeneo ya Chanika MVUTI dalajani kuna miili ya watu ikionekana imekufa kwa Mateso sana sasa hebu angalia niwangapi wanauwawa ktk nazingila haya? Nijanga kubwa tumelikalibisha kuliondoa pia ishakua matatizo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…