Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mbona kawaida sana na ndio utamaduni wetu sisi waafrika baada ya Mungu salam za shukrani zinaenda kwa mkuu nchi kisha ruksa kuzungumza unachotaka kusema.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] awamu hii ina vitukooooooo[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sumve 2015,

Kwahiyo yale maombi ya siku tatu kushukuu kuisha kwa Corona yalikuwa kwa Shetani?

Kele KKKT alikwenda kuhutubia Mkuu wa nchi kulikuwa binafsi, kama ndiyo kwanini zile kauli zimefanyiwa kazi, mfano kufungua vyuo, kutovaa barakoa maana aliziita "matambara" etc?
 
Kuna Uzi humu unauliza "Nani amemuumba Mungu?" Nenda kausome. Mungu wa mtu anatengenezwa na mtu. Wacha watu waendelee kusifu na kuabudu.
 
Maombi yalifanyikia wapi? kama ni kanisani, makanisa hayo yanaabudu shetani? au unataka kutuambia kwamba maombi yalifanyikia Ikulu?
 
Hali hii tumuombe tu Mungu, hakuna namna hizi nchi zetu za Africa huendeshwa kibinafsi zaidi na kwa akili ya mtu mmoja,
 
Wewe unajua kesho utaenda wapi?
 
Huu uzi utolewe! Umeisha mda wake! anatupereka wapi hajui tulipo saivi?
1. Standard guage
2. Bwawa la nyerere
3.fly overs
4.Bandari
5. Mafisadi/ majambazi/vibaka ( hawa wte kipindi cha jk walitisha. Saivi hawapo
6.mashamba ya bangi hayapo tena
7.ajari kupungua
8.umeme kila kijiji
9. Barick kakuukubari mziki
10.Tundu lisu msaliti kakimbia
11.corona imesalim Amri
12. Serikari iko dodoma
13. Tausi wameongezeka
14.ndege zimenunuliea
15.meli zimerudi
16. Wapinzani wameunga hoja

Kiujumla cwezi kumaliza hivyo magufuri anatupereka KAANANI.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…