Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mzunguko utafute ulete wewe, sasa serikali inafanya biashara,
Au umesikia kuna watu wanadai mishahara hawajalipwa?

Nawashangaa sana. Wao wanalimia wapi? Serikali ndio imewafilisi? Mbona hatujasikia hayo malalamiko ya watu wa kyela?
Uzushi ndio kazi yao.
CCM itaendelea kushika dola.
 
Kweli wewe kaka ujielewi wapinzani wenyewe hawana conection nzuri kwa sababu ya chuki zao hata kuzisemea kero Za wananchi hawawezi kuzisemea
 
Sijui anatupeleka wapi, ila najua kuwa anajua kuongoza serikali ambayo ni pragmatic!
 
Anatupeleka kwenye bustani ya neema isiyokuwa na blaablaa wala wapiga dili. Tumuombee atufikishe salama
 
Sikiliza, wewe ndio umepotea. Umezoea maraisi waliokuwa wanashughulika na mambo madogo madogo. Huyu wa sasa anafanya vitu vikubwa. Mf umeme, miundombinu, Reli, bandari, ambapo maisha ya wa Tanzania yatakuwa juu sana miradi hiyo ikikamilika. Pia ameweza kudhibiti Wizi wa rasilimali za uma kama Madini na kukusanya kwa uhakika mapato ya ndani. Mambo haya sio wengi wanayaelewa. Wana macho lakini hawaoni.
 
Duh,muanzisha mada wewe uliona mbali na uliona mapema kwamba tumepotea
 

Wabaona, wanasikia na wanajua ila wanafanya kusudi tu. Achana nao.
CCM oyeee
 
Kawaambia watu wa Shinyanga ambao hata hawajui watakula nini kwamba atawaletea ndege zingine 5
 
Duh,muanzisha mada wewe uliona mbali na uliona mapema kwamba tumepotea
Niseme wamepotezwa wale waliotumbuliwa kwa kukosa vyeti,kuuza cocaine, kupiga dili.wengine tuko imara. ng'ara Raisi wetu ng'ara. Amepoteza mpaka COVID 19. Tuko imara.
 
Niseme wamepotezwa wale waliotumbuliwa kwa kukosa vyeti,kuuza cocaine, kupiga dili.wengine tuko imara. ng'ara Raisi wetu ng'ara. Amepoteza mpaka COVID 19. Tuko imara.
-mishahara nyongeza vipi huko?
-ajira kwa vijana vipi huko?
-kupanda madaraja vipi huko?
-hali ngumu ya maisha vipi huko?
-FAO la kujitoa vipi huko?
-mwalimu kupata laptop vipi huko?
-Milioni 50 kila kijiji vipi huko?
-sheria kandamizi mfano Takwimu act,locol content regulations,
 
Hayo yote umesema vyema, lakini hujatuambia huko tulikokuwa tulikuwa kwenye utawala wa Chama gani waliofanya uzembe huo mpaka JPK kaja kututoa huko!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…