johansen josephat
Member
- Jul 9, 2016
- 37
- 26
Habari za mihangaiko ya siku nzima wakuu Hoja yangu haina umuhimu Sana lakini nahitaji msaada.
Kwanza napenda kuwashukuru sana kwa kupoteza muda wenu na kuchangia mada yangu.
Leo ndio siku ya kwanza ya mimi kupost JF kuomba msaada mara nyingi imekuwa ikitokea mimi nikichangia but leo iko tofauti
Kwa yeyote yule alioko Mwanza na anajua sehemu wanapochora Tattoo ningelipenda anijuze.
Nataka kuchora tattoo ya Mwanangu.
Ahsanten.
Kwanza napenda kuwashukuru sana kwa kupoteza muda wenu na kuchangia mada yangu.
Leo ndio siku ya kwanza ya mimi kupost JF kuomba msaada mara nyingi imekuwa ikitokea mimi nikichangia but leo iko tofauti
Kwa yeyote yule alioko Mwanza na anajua sehemu wanapochora Tattoo ningelipenda anijuze.
Nataka kuchora tattoo ya Mwanangu.
Ahsanten.