Kuna bwana mdogo wangu ana diploma ya accounts anahitaji kujiendeleza. Naomba kujua chuo kiko wapi[INSTITUTE OF TAX MANAGEMENT] hapa dar, na kinamchukua mtu wa sifa gani.
Dogo anasema kapitia website yao hakupata data za kutosha. Namba ya simu ipo ila haipokelewi.
Msaada tafadhali.
Dogo anasema kapitia website yao hakupata data za kutosha. Namba ya simu ipo ila haipokelewi.
Msaada tafadhali.