LUCKSON MNYENGU
Member
- Mar 12, 2021
- 9
- 15
Ua zuri lenye harufu ya kuvutia mi nalifahamu kwa jina la KILUA, haya maua nayaona sana maeneo ya pwani ebu wanayoyafahamu wanieleweshe zaidi kuhusu huu mti unaotoa haya maua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani kwa wewe Asante sana ila kama utapata nafasi ya kutuelimisha kwa mmea mmoja mmoja itakuwa na tija kwa jamii ya watu wanaopenda kuendezesha nyumba zao kwa mauaMkilua ukifika jioni kunakua na harufu nzuri eneo lote ulipo huo mti kuna huu mkilua, mlangilangi, msomalia, asumini na waridi....
Uko vizuri maelezo mafupi yanayoelewaka hongera sanaMkilua ukifika jioni kunakua na harufu nzuri eneo lote ulipo huo mti kuna huu mkilua, mlangilangi, msomalia, asumini na waridi...
Yani yuko vizuriUko vizuri maelezo mafupi yanayoelewaka hongera sana
Sana amenipa hamasa ya kulifatilia hili ua kiundanaiYani yuko vizuri
kwakweli me najua yanatumika kwa hivo labda kama kuna mwengine anajua aje aongeze elimu kwangu nimepanda muasumini na hua sisubiri yachanue kwenye mti wake hua nayachuma yakiwa hayachanua nayamwaga kitandani yanachanulia kitandani kunakua na natural scent flan hivi amazing chumbaniYani kwa wewe Asante sana ila kama utapata nafasi ya kutuelimisha kwa mmea mmoja mmoja itakuwa na tija kwa jamii ya watu wanaopenda kuendezesha nyumba zao kwa maua
Uko vizuri maelezo mafupi yanayoelewaka hongera sana
Yaani nimekupenda bureeeeee asante sanakwakweli me najua yanatumika kwa hivo labda kama kuna mwengine anajua aje aongeze elimu kwangu nimepanda muasumini na hua sisubiri yachanue kwenye mti wake hua nayachuma yakiwa hayachanua nayamwaga kitandani yanachanulia kitandani kunakua na natural scent flan hivi amazing chumbani
hahah asanteYaani nimekupenda bureeeeee asante sana