Anayenipenda mimi Moniccca awe na sifa hizi:

Na kwel Monica maana wengine wanavaa boxer mpaka ukiigusa inanuka kimtu mtu... Khaaa...
 
Dada jaribu kuwa fair kama mama yako mzazi.
 
mmmm monicca we balaaa uo mziki kwa wengine
 
mimi nafikili wewe ndio unatakiwa uwe unafua chupi maana hata ukiwa periodi huwa hufui! nyie ndio wachafu kuliko maana maperiodi hayo kila siku ndio mnatakiwa kuwa wasafi hakuna mwanaume mchafu! umepiga kituo cha polisi!
 
harafu wewe juzi kati ukaja na mrejesho kuwa umepata mume JF? leo hii unataka tena mwingine? uchafu nao huo?
 

Huwezi mpata huyo mwanaume wewee kwanza inaonekana we mwenyewe c mwanamke wa kawaida round 8 duuhh za dk 5 ,5 au!! Wengine round1 tu utakmbia maana inachukua SAA zima SAA wee masaa kumi bado tu unapga cyo MTU ww
 
Katapeli ka mapenzi haka...maneno mengiiii hadi unasahau ulilolisema jana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…