TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Ifikie hatua MTU kama hupendi tabia za mume urudi tu kwenu,kuliko unajua mume ni mlevi umekomalia kwenye Nyumba yake na mlango unamfungia.

Nao ni watoto wa wanawake wenzenu walipata uchungu kama muupatao. Pumzika Mkuu,pumzika Kamanda!
[emoji120]
 
Kila nafsi itaonja umauti leo kwake kesho kwetu, mwenyezimungu ampunguzie adhabu za kaburini
 
Ukiona anakugomea kukufungulia mlango.
Tafuta housegirl muweke humo ndani
Na Moja ya majukumu yake ni kumfungulia baba mwenye Nyumba.

Wawe wanawasiliana pindi baba akikaribia kurudi
Kwa mwendo huo yeye atalala kwa amani na baba mwenye Nyumba hatolala nje.

Vifo vya namna hii umevikomesha
 
Hapo changamoto.. ila wanaume wasiokunywa kabisa wapo.


Me zamani nilikuwa nakunywa kiasi, nikaja date mtu hanywi pombe kabisa.
Akanirudisha kwenye mstari, nikaacha na mpk leo sijawahi hata kumiss
Usimuache mtalea watoto wasio walevi.
 
Duh, uyo mke wake atakua kwenye majuto Sana,kitendo Cha kufungua geti asingechukua ata dakika moja, Sasa ameshapoteza mume
Unaweza kuta amefurahi sana na hana hata chembe ya huzuni...anaona Mungu amemuondolea usumbufu.

Watu hawafanani.
 
Tumetoka kuongea jana
Tukatae waume walevi 😒

Tinsley Lenie
Temea chini mama mshukuru Mungu kwa kukuepusha!

Katika hali ya kuchumbiwa na kijana anayeishi mbali na wewe, waweza kumjua hobi zake kindaki ndaki, wakati wewe una muhu ya kuolewa uwatambie "wachawi" wako?

Na pia saazingine ulevi huanzwa ndani ya ndoa, hapo "Tukatae wanaume walevi" yako itasadifu namna gani, utavunja ndoa?
Lina hela? Kama lina hela usijemtibulia mazako mdogo
Mh!
 
Ulevi haufai.

Unadhalilisha.
Unakera (Mnywaji na Asiyekunywa)
Unachosha watu
Unachosha mwili
Unazeesha
Unapoteza akili
Unaleta umasikini
 
Ifikie hatua MTU kama hupendi tabia za mume urudi tu kwenu,kuliko unajua mume ni mlevi umekomalia kwenye Nyumba yake na mlango unamfungia.

Nao ni watoto wa wanawake wenzenu walipata uchungu kama muupatao. Pumzika Mkuu,pumzika Kamanda!
Umenchekesha sana mamii πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Yani mm jamani Mume wangu akiwa nje siwezi kupata usingizi silalii mpk nihakikishe nimefungua mlango huwa nawaza mengi kweli. Wacha niufungue halafu ninune tuu. But kuliko kupigwa na majambazi aisee. Na kama mume sio mlevi na hajazoea kuja late siku ikiwa hivyo huwezi pata usingizi. So maybe huyo alizidi lakini huruma lazima ikuingie ukiwaza panya road na usiku una mambo mengi.
Ila hatuwezi hukumu hatujui kilichotokea
R.I.P
 
Mimi baba yangu alikua anakunywa sana na alikua anarudi usiku na mimi ndo alikua anapenda nimfungulie akifika mlangoni ataniita mimi japo nilikua nakwazika sana napata hasiraa sana nikawa nawaza why baba hawaamshi wengine.. na huwezi amini japo nilikua sipendi but nilikua silali usingizi hauji hadi nihakikishe namfungulia nilikua naogopa asije dhuriwa. Hivyo hyo ni tabia yangu mpk leo kwa husband japo yy si mnywaji ni mara moja moja akichelewa yupo huko siwezi lala mpk nifungue mimi naogopa ssna usiku na kama kuna mpendwa wangu nje hajaingia ndani au labda anasafiri usiku huwa napata shida.
 
du!!! wanawake watupa shida sana wanaume!!! R.I.P
 
Turudi saa ngapi maana wengine saa 3 tu sim zinaanza pigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…