[emoji120]Ifikie hatua MTU kama hupendi tabia za mume urudi tu kwenu,kuliko unajua mume ni mlevi umekomalia kwenye Nyumba yake na mlango unamfungia.
Nao ni watoto wa wanawake wenzenu walipata uchungu kama muupatao. Pumzika Mkuu,pumzika Kamanda!
Kabisa upo sahihijamii forum member tuwe na utaratibu wa kufahamiana au kukutana hata kwa mwaka mara moja na kusaidiana inapotokea ishu kama za kifo au maradhi ,
That's it my friend!Wacha we!!!
AminaMkuu yawezekana nyumba ni ya mke sasa aondoke aachie nyumba yake kivipi. Bahati mbaya kwake marehemu
Usiingilie Mapenzi ya watu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Halina hela kihiivyoo
Sisi tunatamani Leo kesho waachane awe huru... maana amemgeuza msukule tu
Usimuache mtalea watoto wasio walevi.Hapo changamoto.. ila wanaume wasiokunywa kabisa wapo.
Me zamani nilikuwa nakunywa kiasi, nikaja date mtu hanywi pombe kabisa.
Akanirudisha kwenye mstari, nikaacha na mpk leo sijawahi hata kumiss
Unaweza kuta amefurahi sana na hana hata chembe ya huzuni...anaona Mungu amemuondolea usumbufu.Duh, uyo mke wake atakua kwenye majuto Sana,kitendo Cha kufungua geti asingechukua ata dakika moja, Sasa ameshapoteza mume
Temea chini mama mshukuru Mungu kwa kukuepusha!
Mh!Lina hela? Kama lina hela usijemtibulia mazako mdogo
Usisahau komeo la geti hufungwa piaInakuwaje unatembea bila funguo za nyumbani kwako?
Umenchekesha sana mamii π π πIfikie hatua MTU kama hupendi tabia za mume urudi tu kwenu,kuliko unajua mume ni mlevi umekomalia kwenye Nyumba yake na mlango unamfungia.
Nao ni watoto wa wanawake wenzenu walipata uchungu kama muupatao. Pumzika Mkuu,pumzika Kamanda!
Ukinywa pombe, hauwezi kutafakari tena hadi pombe iache ubongo.Mke kawa mjane ghafla
Dah
Mara nyingi tafakari jambo kabla ya kutenda
"Alcohol is for people who are dying, for those who are in misery." - - Proverbs 31:6Ulevi na Umalaya huondoa heshima sio maneno yangu ni ya Bible. Zikimbieni pombe na ukinywa kunywa kiasi tu. Rip Sir.
du!!! wanawake watupa shida sana wanaume!!! R.I.PMemba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.
Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Turudi saa ngapi maana wengine saa 3 tu sim zinaanza pigwaJaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.
Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie