Anayeshika nafasi ya 2 bongo (Simba)anakiwasha kimataifa, Je, Yanga anayeongoza ligi atakuwaje?

Viongozi wanawaweza sana yaani wanawajua nyinyi ni mashabiki oya oya na ndio maana vioņgozi waliiandaa zaidi timù na mechi ya tamasha la mwananchi day kuliko mechi ya klabu bingwa ingawa zote mlipigwa.
 
Nyinyi jishaueni tu! Ila mpaka sasa Yanga ndiyo timu pekee kwenye ligi ambayo haijapoteza hata mchezo mmoja! Na mpaka sasa inaongoza ligi.

Na haishangazi kuona baadhi ya timu zikishangilia mara baada tu ya kutoa sare!
Dah! Angalia Sana mkuu kwa hili andiko lako. Wajukuu wako wakilisoma watakudharau kuanzia unapolala hadi unapokunya. Mi nikafikiri ligi imeisha na utopolo kamaliza ligi bila kufungwa na kanyanyua kwapa. Kumbe ligi bado inaendelea !
 
Viongozi wanawaweza sana yaani wanawajua nyinyi ni mashabiki oya oya na ndio maana vioņgozi waliiandaa zaidi timù na mechi ya tamasha la mwananchi day kuliko mechi ya klabu bingwa ingawa zote mlipigwa.
Hapana....mkuu....tulifanyiwa figisu....key prayers hawakuwa na kibali
 
Nyinyi jishaueni tu! Ila mpaka sasa Yanga ndiyo timu pekee kwenye ligi ambayo haijapoteza hata mchezo mmoja! Na mpaka sasa inaongoza ligi.

Na haishangazi kuona baadhi ya timu zikishangilia mara baada tu ya kutoa sare!
Msimu uliopita mlifungwa mechi moja tu, kilichofata unakijua mwenyewe.
 
Hahahahhaha Yanga aka Utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…