Bengazuu JF-Expert Member Joined Mar 28, 2013 Posts 1,029 Reaction score 1,236 May 4, 2014 #1 hivi mtu anayesomea kilimo ngazi ya stashahada huwa anaajiriwa na serikali au la?
wiseboy JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 2,930 Reaction score 3,305 May 4, 2014 #2 Bengazuu said: hivi mtu anayesomea kilimo ngazi ya stashahada huwa anaajiriwa na serikali au la? Click to expand... swali limekamilika mkuu ama? Chochote kinachosomewa serikali inaZo ajira, kwa hyo ww hata wizara ya kilimo chakula na ushirika huijui...
Bengazuu said: hivi mtu anayesomea kilimo ngazi ya stashahada huwa anaajiriwa na serikali au la? Click to expand... swali limekamilika mkuu ama? Chochote kinachosomewa serikali inaZo ajira, kwa hyo ww hata wizara ya kilimo chakula na ushirika huijui...