Or turn it into vocational college under NACTE .. Health and allied sciences college, offering certificate/diploma level in nursing, laboratory tech, pharmacy etc .. I see the mentioned infrastructure suits well with such courses.Kuna shule moja inaitwa Olduvai sec IPO Moshi Kilimanjaro.
Majengo yake yako imara na Ina vyumba vyakutosha vya madarasa, maabara, dinning hall , mabweni, kiwanja Cha mpira , maji all the year , fensi na umeme wa 3 phase, shule Ilisimama 2017 kutokana na ukosefu wa wanafunzi na uchumi .
Hivyo tunatafuta mtu Yuko serious tukabithiane kisheria aendeleze gurudumu la elimu mwenyeshule unampa 40%wewe unakula 60% ya income na anakupa grace period ya 3 years without payment of rent kwa maelezo zaidi nicheki tuyajenge
0788962318
Unaongelea miaka gani maana sijawahi kusikia old Moshi inaingia kwenye orodha ya Wakorofi.Dah enzi hizo hiyo shule ilikua inaongoza kwa kua na wanafunzi wakorofi.moshi shule zenye fujo ilikua inaanza old moshi ,unafuata hiyo
Umezaliwa mwaka gani?old moshi iyo shule ilikua na wababe Sana,wakienda shule yeyote kucheza mechi ,wakifugwa Ni fujo ya hatari ,kolila iko shambani uko fujo wamletee Nani,old moshi ipo mjini ,mpaka barabara inakua haipitikiUnaongelea miaka gani maana sijawahi kusikia old Moshi inaingia kwenye orodha ya Wakorofi.
Nakumbuka enzi zetu ukisikia 'Kill Boys" ndio ilikuwa balaa...zinazofuatiz ilikuwa Kolila n.k....hii Olduvai ndio naisikia leo mimi.
YeapUnamaanisha kuingia ubia na si kununua moja kwa moja?
InfrastructureOr turn it into vocational college under NACTE .. Health and allied sciences college, offering certificate/diploma level in nursing, laboratory tech, pharmacy etc .. I see the mentioned infrastructure suits well with such courses.
Acha kupotosha watu, Oldmoshi imekuwa one of the best School in KilimanjaroDah enzi hizo hiyo shule ilikua inaongoza kwa kua na wanafunzi wakorofi.moshi shule zenye fujo ilikua inaanza old moshi ,unafuata hiyo
Mkataba sio chini ya miaka 50Huyu sio kuwa anataka mtu amtengenezee jina la shule kwanza ikishakuwa ama kustawi anamsimamisha
Angefanya hata 20% kwa 80% pamoja na hiyo offer ya 3yrz! Kuna ishu ya OPERATION COST ambazo yeye zimemshinda, huyo mwingine ataziwezaje kwa ratio ya 40% kwa 60%!!?Kuna shule moja inaitwa Olduvai sec IPO Moshi Kilimanjaro.
Majengo yake yako imara na Ina vyumba vyakutosha vya madarasa, maabara, dinning hall , mabweni, kiwanja Cha mpira , maji all the year , fensi na umeme wa 3 phase, shule Ilisimama 2017 kutokana na ukosefu wa wanafunzi na uchumi .
Hivyo tunatafuta mtu Yuko serious tukabithiane kisheria aendeleze gurudumu la elimu mwenyeshule unampa 40%wewe unakula 60% ya income na anakupa grace period ya 3 years without payment of rent kwa maelezo zaidi nicheki tuyajenge
0788962318
Fujo haziusiani na ufaulu,Ni vitu viwili tofautiAcha kupotosha watu, Oldmoshi imekuwa one of the best School in Kilimanjaro
Miaka hiyo tukisikia Oldmoshi imepata ufaulu wa Div 1, 24 na Div II, 65 watu wanasikitika kuwa shule imefelisha .
Oldmoshi haijawahi kuwa na sifa mbaya kiasi hicho
Turudi kwenye Mada
Deal ni Zuri, ni kuhakikisha tu kuwa, mkataba umeandikwa vizuri ili Mtu asivunje/badilisha bila utaratibu....
Hapa sasa anaetaka ku get in ndo anabidi azingatie coz operation coz ziko juu sana kwa sasaAngefanya hata 20% kwa 80% pamoja na hiyo offer ya 3yrz! Kuna ishu ya OPERATION COST ambazo yeye zimemshinda, huyo mwingine ataziwezaje kwa ratio ya 40% kwa 60%!!?
Point.Angefanya hata 20% kwa 80% pamoja na hiyo offer ya 3yrz! Kuna ishu ya OPERATION COST ambazo yeye zimemshinda, huyo mwingine ataziwezaje kwa ratio ya 40% kwa 60%!!?
Hao ni wezi kama wezi wenginePoint.
Asilimia 40 ni kubwa mno,ni bora mtu aende kununua au kukodi majengo sehemu nyingine asimamie mwenyewe.
WeziHapa sasa anaetaka ku get in ndo anabidi azingatie coz operation coz ziko juu sana kwa sasa