Anayetaka nipungue aweke Mtonyo mezani tufanye Biashara-: Peter Msechu

Hivi unene kupita kiasi ndio Maradhi ya moyo yanakoanzia
Lazima ana shinikizo la damu.Pia katika siku za usoni anaweza kupata mstuko wa moyo na kiharusi.
Mwili umejaaa mafuta machafu.
 
Jinga sana hilo jitu. Jitu limekuwa kama puto lililojazwa upepi au kupe aliyeshiba damu au funza halafu anataka apewe mtonyo, kwani hasara ya obesity ni ya mtoa mtonyo!!! Akiumwa atasema karogwa.
 
Kabisa...
Risk ambazo Msechu atakuwa nazo(just matter of time )Heart Attack, hypertension, Kidney problems na magonjwa kibao ya moyo
Hamkumbuki yule kijana nadhani aliitwa Sunday marehemu jinsi ndege zilivyopata tabu namna ya kumpatia seat asione ufahari kuwa na mwili huo
 
Ni kwa kuwa bado mdogo hivyo viungo vyake pamoja na moyo vinafanya kazi vizuri. Akifika miaka 40 na huo mwili aombe tu kukutana na israili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…