Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipia tangazo limekaa kijanja sanaHello guys Mm ni muhitimu wa chuo nikaona kukaa tu sio poa niko Dar hapa kuna vyuo vingi natafuta mdada ambae yuko tayali tuanze kupita vyuoni kutafuta wateja na kuuza nguo kwenye hostels tunaenda kufata nguo karume tunaenda kuuza 0625056158
Nimelia sana,graduate kutembeza vinguo vya mitumba hostel,njoo babati nikupe shamba tulimeHello guys Mm ni muhitimu wa chuo nikaona kukaa tu sio poa niko Dar hapa kuna vyuo vingi natafuta mdada ambae yuko tayali tuanze kupita vyuoni kutafuta wateja na kuuza nguo kwenye hostels tunaenda kufata nguo karume tunaenda kuuza 0625056158
Hello guys Mm ni muhitimu wa chuo nikaona kukaa tu sio poa niko Dar hapa kuna vyuo vingi natafuta mdada ambae yuko tayali tuanze kupita vyuoni kutafuta wateja na kuuza nguo kwenye hostels tunaenda kufata nguo karume tunaenda kuuza 0625056158
Bora hii kuliko kukaa tu nyumbani..mwishoe uone kudanga ndio kazi.Hello guys Mm ni muhitimu wa chuo nikaona kukaa tu sio poa niko Dar hapa kuna vyuo vingi natafuta mdada ambae yuko tayali tuanze kupita vyuoni kutafuta wateja na kuuza nguo kwenye hostels tunaenda kufata nguo karume tunaenda kuuza 0625056158
Njoo nikuoe Mrembo. Nmechukua namba nitakuchekiHahaha asante asa sjui ata uko malawi nazipelekaje
usijali utapata mrembo.mtaji wabiashara unao wakutosha lakini?Niliomba ajira za Utumishi Kwenye kada ya afya nimekosa 😊😊🙆🏻♀️