abdulatif himid
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 326
- 814
Nawauliza wataalamu wa Afya, hususani Damu.
Je, mtu anayetumia Pombe na Sigara haruhusiwi kumchangia mtu Damu?
Kama ni kweli, Kwa nini?
Ndugu yangu ameshindwa kumchangia Mgonjwa Damu kwa sababu tu mdomo wake umeonekana mweusi!
Alipoulizwa na mnasihi kama anatumia vilevi gani, alikiri kuwa anatumia bangi
Akaambiwa kuwa hafai kuchangia Damu!
Je angekuwa amevaa barakoa wangejuaje kama anavuta?
Ushauri; Mtu amekuja kutoa Damu kwa hiari yake, kama Damu yake haifai ikamueni, mwageni tu.
Vingenevyo mnadiscourage Wachangiaji.
Je, mtu anayetumia Pombe na Sigara haruhusiwi kumchangia mtu Damu?
Kama ni kweli, Kwa nini?
Ndugu yangu ameshindwa kumchangia Mgonjwa Damu kwa sababu tu mdomo wake umeonekana mweusi!
Alipoulizwa na mnasihi kama anatumia vilevi gani, alikiri kuwa anatumia bangi
Akaambiwa kuwa hafai kuchangia Damu!
Je angekuwa amevaa barakoa wangejuaje kama anavuta?
Ushauri; Mtu amekuja kutoa Damu kwa hiari yake, kama Damu yake haifai ikamueni, mwageni tu.
Vingenevyo mnadiscourage Wachangiaji.