Anayeuza line ya safaricom

Anayeuza line ya safaricom

Mie nataka laini ya safaricom, ila nataka kujua kama naweza isajili kwa jina langu, nipo dar. Nahitaji kwa ajili ya Mpesa na Paypal.
 
Mie nataka laini ya safaricom, ila nataka kujua kama naweza isajili kwa jina langu, nipo dar. Nahitaji kwa ajili ya Mpesa na Paypal.
Hapa TZ huwezi sajili line kwa jina lako labda uende kenya mkuu.
 
Check huyu dogo telegram anazo kama zote...

Tafuta username hii @Champioboy au 0753118226 au scan qr code ya account yake

qr_tmp.jpg
kama una telegram
 
Back
Top Bottom