Baba mlezi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 237
- 48
AsanteMakurumla ipo Magomeni mwembechai baba mzazi! kibugumo cjui labda ipo mkoani
Kama kuna mtu anayejua mahali shule hizi zilipo anielekeze
1.KIBUGUMO SECONDARY-Inapatikana TEMEKE
2.MAKURUMLA SECONDARY-Inapatikana KINONDONI
Naomba nijulishwe exactly location yake zilipo na nikitokea Ubungo naweza fika namna gani.
Ninajua tu kuwa moja ipo Temeke na Nyingine halmashauri ya kinondoni,Lakini jinsi ya kufika zilipo ndo mtihani kwangu.
asante kwa kunijuza mkuu nikivuka inabidi nipande tena gari au hapana?kibugumo ipo pande za kigamboni so huna budi kuvuka maji mkuu
asante kwa kunijuza mkuu nikivuka inabidi nipande tena gari au hapana?
Longtime enzi za nguvukazi watu waliosadikika hawana ajira zinazowaweka mjini walikamatwa na kupelekwa Kibugumu/Gezaulole kuanzisha mashamba mpaka nimekumbuka ule wimbo unaimba "biashara ya njugu na korosho mama haitufai eehee", anyway location ya Kibugumo hiyo hapokibugumo ipo pande za kigamboni so huna budi kuvuka maji mkuu
| Name of school | Reg no | Ward | Location |
| KIBUGUMO | S.3296 | MJIMWEMA | KIBUGUMO |
Longtime enzi za nguvukazi watu waliosadikika hawana ajira zinazowaweka mjini walikamatwa na kupelekwa Kibugumu/Gezaulole kuanzisha mashamba mpaka nimekumbuka ule wimbo unaimba "biashara ya njugu na korosho mama haitufai eehee", anyway location ya Kibugumo hiyo hapo
Name of school
Reg no
Ward
Location
KIBUGUMO
S.3296
MJIMWEMA
KIBUGUMO
Hahahahahaaa Mkuu ume nifrahisha sana
kama kuna mtu anayejua mahali shule hizi zilipo anielekeze
1.kibugumo secondary-inapatikana temeke
2.makurumla secondary-inapatikana kinondoni
naomba nijulishwe exactly location yake zilipo na nikitokea ubungo naweza fika namna gani.
Ninajua tu kuwa moja ipo temeke na nyingine halmashauri ya kinondoni,lakini jinsi ya kufika zilipo ndo mtihani kwangu.
Asante kwa kunijuzaukifika kigamboni unapanda gari za geza ulole unashuka kituo kinaitwa shule ambapo kuna shule za kibugomo shule ya msing na sekondar na sekondari ya kidete